Fundisi Muhapa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 4,422
- 2,115
Spot on mwana.Hii itawezekana siku serikali ikinunua vitu vinavyolingana na utajiri tulio nao. Tunaposikia mabilioni yamechotwa kupitia EPA, Escrow na IPTL, Symbion, misamaha ya kodi ACACIA, n.k. inakuwa ngumu kuchekelea kuwasili kwa "feni". Ingekuwa AC sawa.
Leo hii nikihamishia robo tatu ya kipato changu kwa mchepuko ukajinunulia "Vogue" halafu nikaleta nyumbani ki-"vitz" na kisha kulalamika kwa nini mke na watoto wangu hawajachekelea eti hawathamini vyetu nitakuwa nawachukulia mazoba sana!