Nadhani wameumia kwa ndege kununuliwa badala ya madawati au madawa
Una ushahidi?
Hahahaha kweli mkuuhahahaa itakuwa kama ile movi ya the gods must be crazyy
La hasha, ni kumjengea Mtanzania huyohuyo mazingira rafiki ili aweze kufikia malengo yake. Mfano rahisi tu ukiweka uwezekano wa kuwa na usafiri wa anga kila mkoa wa Tanzania, unawajengea wananchi njia rahisi ya kuweza kusafiri wao wenyewe na hata mizigo yao. Kikawaida, wachumi wanafikiria kuwa uamuzi wa mteja hufikiwa baada ya kulinganisha mambo kadhaa na faida au hasara zake ndipo mtu ataamua ama afanye au asifanye. Chukulia jambo la kawaida tu kama sherehe ya harusi kwa mtu alnayeishi Songea na harusi iko Same. Most likely kwa mazingira ya sasa ni kuwa ama aombe likizo bila malipo ya wiki mbili ili aweze kuhudhuria, au asihudhurie kabisa. Kama kuna usafiri wa ndege inamchukua saa kadhaa kuwa Same na saa kadhaa kurudi kituo cha kazi.Samahani mkuu nauliza tu kivivu hapa...ina maana tuki improve usafiri wa anga maisha ya mtanzania yatakuwa yamepaa automatically? Kwamba maisha ya Mtanzania yalikuwa yamezorota kwa kuwa usafiri wa anga ulikuwa na mushkeli?
Penda vya nyumbani inua vya nyumbani tutafika tu huko kwny boing na airbusInteresting.....
tuone 'mapanga shaa' na hizi nani zaidi
Tuna afford?La hasha, ni kumjengea Mtanzania huyohuyo mazingira rafiki ili aweze kufikia malengo yake. Mfano rahisi tu ukiweka uwezekano wa kuwa na usafiri wa anga kila mkoa wa Tanzania, unawajengea wananchi njia rahisi ya kuweza kusafiri wao wenyewe na hata mizigo yao. Kikawaida, wachumi wanafikiria kuwa uamuzi wa mteja hufikiwa baada ya kulinganisha mambo kadhaa na faida au hasara zake ndipo mtu ataamua ama afanye au asifanye. Chukulia jambo la kawaida tu kama sherehe ya harusi kwa mtu alnayeishi Songea na harusi iko Same. Most likely kwa mazingira ya sasa ni kuwa ama aombe likizo bila malipo ya wiki mbili ili aweze kuhudhuria, au asihudhurie kabisa. Kama kuna usafiri wa ndege inamchukua saa kadhaa kuwa Same na saa kadhaa kurudi kituo cha kazi.
walipanda sana maana walikuwa watumishi wa moja ya balozi zetu nchi mojawapo ya Ghuba... je una swali jengine la msingiHIVI BABA NA MAMA YAKO WALISHAWAI PANDA NDEGE?
Ukisema uwezo ina maana jinsi miaka inavyozidi kusonga mbele uwezo wa tanzania unapungua.....mana ukiangalia ndege za zamani zilikuwa kubwa ukilinganisha na mabanga shaa.Tatizo wabongo tuna makelele mengi sana....mara kwa nini tumenunua ndege...mara kwanini bombadier na sio jet?
Kama una uwezo wa kununua vitz utanunua vitz tu...Range rover utaishia kuitazama ikipita.
Lakini kununua vitz sio sawa na kununua baiskeli..tumenunua q400 mbili kwa uwezo wetu..wacheni zipige kazi
Sijaelewa swali limelenga nini?Tuna afford?
Sijaelewa swali limelenga nini?
Uliza upate maaarifa!,usijifanye unajua kumbe hujui..Naam, ndege imeenda shule hii. Kitu kimetulia. Ni jet engine. Yale mapanga shaaaa hata kwa bure sipandi.
Nani zaidi kwa mlinganisho huu (Bombardier Q400 na Embraer 190), "The Boss":Interesting.....
tuone 'mapanga shaa' na hizi nani zaidi
Kwa kiasi fulani ningekubaliana nawe kama ungesema kuwa kuingiliwa madaraka kwa viongozi waliokuwa ATC pia kulichangia kuliangusha shirika. Mfano mzuri ni ule wa Alliance. ushirika ule ulipingwa sana lakini haukufua dafu.Kupeana kazi kwa kujuana kunaanza na ukada. Wa juu wakishawekwa makada na chini kunafata. Ingelikua sio wanasiasa wanahusika wangeshakemea mapema sana