PICHA: Ndege mpya za Fastjet hizi

PICHA: Ndege mpya za Fastjet hizi

Sidhani hata kama hata anajua hizo ndege. Atakuwa amesikia watu wanaponda na yeye amejiunga nao as long ni wa chama kimoja. Watanzania sijui lini tutaanza kuthamini vitu vyetu.

Hii itawezekana siku serikali ikinunua vitu vinavyolingana na utajiri tulio nao. Tunaposikia mabilioni yamechotwa kupitia EPA, Escrow na IPTL, Symbion, misamaha ya kodi ACACIA, n.k. inakuwa ngumu kuchekelea kuwasili kwa "feni". Ingekuwa AC sawa.

Leo hii nikihamishia robo tatu ya kipato changu kwa mchepuko ukajinunulia "Vogue" halafu nikaleta nyumbani ki-"vitz" na kisha kulalamika kwa nini mke na watoto wangu hawajachekelea eti hawathamini vyetu nitakuwa nawachukulia mazoba sana!
 
Kila nikijaribu kupanda ndege nakuta bei imeongezeka mwanza tu dar wayaongeze mengi ndoto yangu itimie angalau gharama iwe laki au chini ya hapo
 
Mapanga shaa wameanza vizuri sana kama tu watakuwa na system nzuri ya kibiashara na kila mmoja akawajibika kwa nafasi yake na kuweka mazoea pembeni.

Kama serikali kuu tu haina hiyo system ATCL wataanzia wapi?
dawa ilikuwa kuleta European management....
kama zinavyo faya nchi za kiarabu
 
Tunasahau kuwa Fastjet wameamua kuleta ndege ndogo baada ya "kulost".
Huu ni ushahidi kuwa ndege kubwa hazifai kwa safari fupi za ndani.
Na huu ni ushahidi dhidi ya wale waliokuwa wanalilia "tungenunua airbus kama za fastjet".
Ni lazima sasa kundi hilo likiri kua walipotoka. Na kuwa ndege ndogo na za kati ndo mpango mzima kwa safaei za ndani na sio zile kubwa.
Hata precission walichemsha na ile jet yao mapema sana.

Na vile vile kuna mashirika mengi sana ya ndege yanarusha hayo "mapanga shaa" na wabongo wanapanda...lakini kwa kuwa ni cha serikali ishakuwa nongwa...watu hao hao wanapanda panga shaa la ethiopiana kwa tabasam na raha tele na wanashuka JKNIA kwa swagger....lakini ya serikali matusi..
Na precission kila walivyokuwa wanaongeza "mapanga" mapya tuliwasifu sana.....na nyuzi ziko hapa jukwaani. Watu hao hao leo matusi yake hayasemeki kama vile kununua "mapanga" ni dhambi kubwa.
Tuache unafiki na tubadilike.

Maswala yangu yanayonipa wasiwasi ni ishu za menejiment ya ile kampuni...kampuni iliyooza, je kampuni ile itaweza?

The Boss nakupa changamoto, Emirates ni kampuni ya ndege maarufu sana....je unajua ilianza na ndege ngapi miaka ya 80?
Menejiment na weledi wa biashara. Hili jambo sisikii likiongelewa. Tunatukana ndege weeee...hata ukipewa airbus mpya 100 kama huna menejiment nzuri utachemsha ndani ya miaka 5.

Tunavyoanza kujenga nchi, kujenga uchumi tujielekeze kwenye viopaumbele halisi..na sio chuki kwa serikali pekee.


Magufuli hajui
Mbarawa hajui..
ATCL hawajui....

Masuala ya 'efficiency sisi watu weusi ni kama sio utamaduni wetu
Magufuli angekuwa serious angeleta wazungu kuiendesha hiyo ATCL
 
Cv yake ina kipi cha maana, yan mtu alikua branch manager anaaenda kuwa acting CEO wa shirika kubwa kama TTCL...unadhani makampun makubwa kama vodacom, airtel na tigo wanavyoleta watu waliobobea kuja kua wakurugenz wa makampun yao ni wajinga..?
Hao unaowataja walianzia wap kuwa na akilili
 
Mapanga Shaaaa!


Lile paga likidondoka huko angani lazma abiria mtaftane huko hewani!!
 
Kama serikali kuu tu haina hiyo system ATCL wataanzia wapi?
dawa ilikuwa kuleta European management....
kama zinavyo faya nchi za kiarabu
Maoni yanapokelewa Mkuu, ukizingatia serikali yetu ni sikivu.
 
Embraer 190 specifications

Screenshot_2016-09-24-17-34-40-1.png


Bombardier Q400 specifications


tx_specs_e.gif

gr_corner_grey_tl.gif
gr_corner_grey_tr.gif


General
Crew 2
Flight Attendants 2 or 3
Passengers 68-78

Engines
Number Two Pratt and Whitney Canada Corp. PW150A
Normal Takeoff Power 4,580 shp
Max.Power 5,071 shp
Max. Cruise Power 3,947 shp

Propellers
Dowty model R408 six-bladed, reversible pitch; composite
Diameter 13 ft 6 in / 4.11 m

Avionics

Automatic Flight Control System
Autopilot with Flight Director
Dual Attitude and Heading Reference System
Dual Air Data Computers
EFIS (Electronic Flight Instrument System)
Cat II capability
Engine and Systems Integrated Display (ESID)

Navigation
Dual VHF (VOR, Glideslope and Marker)
Dual ADF, DME and ATC Mode S
Single or Dual Flight Management System* with GPS
Cat IIIa Head-Up Guidance Display*
ACARS*

Communication
Dual VHF System
Service Interphone and Passenger Address System
HF System*

Other Systems
Standby Instruments
Radio Altimeter
Colour Weather Radar
Enhanced Ground Proximity Warning System (EGPWS)*
TCAS II/ACAS* (change 7)
Audio Integrating System
Cockpit Voice Recorder
Emergency Locator Transmitter (3 frequency optional)
Flight Data Recorder
Centralized Maintenance and Diagnostic System
* Optional

gr_corner_grey_bl.gif
gr_corner_grey_br.gif


gr_corner_grey_tl.gif
gr_corner_grey_tr.gif


Dimensions

External:
Length overall 107 ft 9 in 32.84 m
Wingspan 93 ft 3 in 28.42 m
Height overall 27 ft 5 in 8.34 m
Fuselage maximum diameter 8 ft 10 in 2.69 m
Wing area (gross) 679 ft2 63.08 m2
Horizontal tail area 180 ft2 16.72 m2
Vertical tail area 152 ft2 14.1 m2

Internal:
Cabin length (excluding cockpit) 61 ft 8 in 18.80 m
Cabin maximum width (centreline) 8 ft 3 in 2.51 m
Cabin width (floor level) 6 ft 8 in 2.03 m
Maximum height 6 ft 5 in 1.95 m
Floor area (excluding cockpit) 469 ft2 43.60 m2
Cabin volume 2,740 ft3 77.60 m3
Cabin pressurization 5.5 psi 37.9 KPa
Baggage volume 502 ft3 14.22 m3

Doors & exits:

Passenger door (LH, fwd)
Height 5 ft 5 in 1.65 m
Width 2 ft 6 in 0.76 m
Height to sill 4 ft 0.5 in 1.23 m
Passenger door (LH, aft)
Height 5 ft 5 in 1.65 m
Width 2 ft 4 in 0.71 m
Height to sill 5 ft 1 in 1.56 m
Baggage door (LH, aft)
Height 4 ft 8 in 1.43 m
Width 4 ft 2 in 1.27 m
Height to sill 5 ft 1 in 1.55 m
Baggage door (LH, fwd)
Height 4 ft 9 in 1.45 m
Width 2 ft 4 in 0.71 m
Height to sill 4 ft 2 in 1.27 m

gr_corner_grey_bl.gif
gr_corner_grey_br.gif


gr_corner_grey_tl.gif
gr_corner_grey_tr.gif


Weights: High Gross Weight Version (HGW)
Maximum takeoff weight 64,500 lb 29,257 kg
Maximum landing weight 61,750 lb 28,009 kg
Maximum zero fuel weight 57,000 lb 25,855 kg
Operating weight empty 37,888 lb 17,185 kg
Maximum payload 19,112 lb 8,670 kg

Fuel and oil capacity
Fuel capacity 1,724 U.S. gal
1,436 lmp. gal 6,526 L
Oil capacity 8.0 U.S. gal
engine 30 litres/
engine

gr_corner_grey_bl.gif
gr_corner_grey_br.gif


gr_corner_grey_tl.gif
gr_corner_grey_tr.gif


Performance

Range: NM SM KM
Maximum range
(70 pax @ 200 lb) MCR, ISA, SL 1,362 1,567 2,522

Speeds:
Maximum cruise speed 360 kts 414 mph 667 km/h

Airfield Performance:
FAR takeoff field length
(SL, ISA, MTOW, HGW) 4,600 ft 1,402 m
FAR landing field length
(SL, ISA, MLW, HGW) 4,221 ft 1,287 m
Takeoff field length for 500nm sector
(ISA, 70 Pax, IGW) 3,720 ft 1,134 m
Landing field length for 500nm sector
(ISA, 70 Pax, IGW) 3,380 ft 1,030 m

Ceiling:
Maximum operating altitude 25,000 ft 7,620 m

FAR 36
Noise Level: EPNdB
Takeoff 78.3
Sideline 84.0
Approach 94.8
Maintenance Program
Daily checks None
Line checks Every 50 flight hours
"A" checks Every 500 flight hours
"C" checks Every 5,000 flight hours
Structural inspection Every 40,000 flights hours
Equalized Maintenance Program available.

Structural Integrity
Crack Free Life 40,000 flights / 32,670 flt. hrs. *
Design Life 80,000 flights / 65,340 flt. hrs. *

* Assumes a 50 minute flight time
 
Daah imetulia hii sasa tunakwenda sawa. KQ wanazitumia sana Embraer kwa route za KIKANDA...ENTEBBE, DAR, KIGALI, BUJUMBURA na ADDIS ABABA. Makada sasa mkae sawa.
 
Kwa kauli hizi inainekana ata ndege kupanda ni mpaka upate offer...kwani precision wanatumia ndege gani..mbona watu wanapanda ili hali nauli zao zipo juu...
Hahahahahahaha huyo mtu kanifurahisha, mapnga shaaa shaaa, hata me sipandi
 
Hii kitu ikitua Bongo itapunguza bei kwa sis wa kwenda BUKOBA, DODOMa, MTWARA.
 
Hao ni vimeo tu wali cancel safari za route ya Kia- Mwanza sijui ndo nini walifanya sasa
Hatuna haja ya kukashifu na kupondea fulani kwasababu mie navyoelewa uwepo wa ndege nyingi tena za ukubwa tofauti ni faida kwetu sie wananchi. Naombea ziendelee kuja za aina zote ili kila mpandanji achague mwenyewe kulingana na utashi wake

Tusiwe kama hatukwenda shule ama sote tuna uwezo sawa.
 
Back
Top Bottom