PICHA: Ndege mpya za Fastjet hizi

PICHA: Ndege mpya za Fastjet hizi

Naam, ndege imeenda shule hii. Kitu kimetulia. Ni jet engine. Yale mapanga shaaaa hata kwa bure sipandi.
Kwa kauli hizi inainekana ata ndege kupanda ni mpaka upate offer...kwani precision wanatumia ndege gani..mbona watu wanapanda ili hali nauli zao zipo juu...
 
Tatizo ATCL wanateuana kwasababu ya kuwa na kadi ya CCM.
Utaalamu unawekwa pembeni.
Pamoja na kuwa na jeuri ya fedha, UAE walimchukua Clark kuisimamisha Emirates ambayo leo ni moja ya shirika linalokuja kwa kasi sana duniani.
Walianza na mtaji wa $10Milion na ndege moja ya kukodi toka Pakistani mwaka 1985. Leo hii wana ndege walau 200+ na wapo kwenye destinations almost 150+.
Biashara ya ndege sio mchezo.

Tatizo kubwa la ATCL, kama mashirika mengine ya umma, ni gharama za uendeshaji upande wa mishahara ya waajiriwa:
1) Ajira kutolewa nyingi na kiholela ili tu kuhakikisha ndugu wa mabosi wanaotoka vyuoni hawakosi ajira! Utakuta mtu ameishapangiwa kitengo kabla hata hajaenda chuoni kusomea taaluma husika!
2) Mishahara mikubwa, maradufu, kuzidi hali halisi kiasi hata cha kuweza kumvutia mmiliki wa ndege binafsi kuacha biashara ya ndege na kutafuta ajira ya ATCL, maana huko maisha ni rahisi zaidi!
3) Kuzifanya mpaka ajira za muda mfupi kuwa ajira za kudumu na kuzidi kulitwisha shirika mzigo!

.
.
.


Matokeo yake ni shirika kushindwa kujiendesha kiasi cha kuhitaji ruzuku ya serikali kulipa mishahara!
 
Mkuu;
Tuseme hupandi kwa kuwa haipai juu yatembea ka vw au ni kwa kuwa imenunuliwa na serekali. Ushauri wangu wa bure kwa watu wa sampuli yako;
Acha ziletwe kwa wingi nchini. Bei (Nauli) ishuke, wenye safari za ndani tuepuke mabas haya yanayowachinja ndg zetu kila siku. Ndege zipae juu na kutua salama. Nadhani la msingi tungeli iomba serekali hii sikivu, iangalie uongozi unaowekwa. Tusiangalie kadi ya chama, Biashara itakufa kabla haijaanza wakiweka chama chao mbele. Gazeti la uhuru halisomeki kwa sababu bila habari ya sendeka haliruhusiwi kuuzwa. Matokeo yake linapelekwa maofisini tu nako hawalipi.
Wekeni wataalam wa biashara waongoze shirika sio mainjinia. Injinia asimamie karakana
Hii serikali wangekua wasikivu wasingenunua ndege bali chanjo hospitali. Wamekosea vipaumbele sasa majanga yameanza.
 
Semeni msemavyo.... ndege ni zetu.Heri tisa kibindoni kuliko kumi nenda urudi.Tumeanza na hizo na tutafanikiwa tu..kwani penye nia pana njia.Inshaalah...
 
Mkuu;
Tuseme hupandi kwa kuwa haipai juu yatembea ka vw au ni kwa kuwa imenunuliwa na serekali. Ushauri wangu wa bure kwa watu wa sampuli yako;
Acha ziletwe kwa wingi nchini. Bei (Nauli) ishuke, wenye safari za ndani tuepuke mabas haya yanayowachinja ndg zetu kila siku. Ndege zipae juu na kutua salama. Nadhani la msingi tungeli iomba serekali hii sikivu, iangalie uongozi unaowekwa. Tusiangalie kadi ya chama, Biashara itakufa kabla haijaanza wakiweka chama chao mbele. Gazeti la uhuru halisomeki kwa sababu bila habari ya sendeka haliruhusiwi kuuzwa. Matokeo yake linapelekwa maofisini tu nako hawalipi.
Wekeni wataalam wa biashara waongoze shirika sio mainjinia. Injinia asimamie karakana
Wazo lako ni la msingi sana mkuu.Ubarikiwe kwa maoni yako ya kizalendo.
 
Tatizo kubwa la ATCL, kama mashirika mengine ya umma, ni gharama za uendeshaji upande wa mishahara ya waajiriwa:
1) Ajira kutolewa nyingi na kiholela ili tu kuhakikisha ndugu wa mabosi wanaotoka vyuoni hawakosi ajira! Utakuta mtu ameishapangiwa kitengo kabla hata hajaenda chuoni kusomea taaluma husika!
2) Mishahara mikubwa, maradufu, kuzidi hali halisi kiasi hata cha kuweza kumvutia mmiliki wa ndege binafsi kuacha biashara ya ndege na kutafuta ajira ya ATCL, maana huko maisha ni rahisi zaidi!
3) Kuzifanya mpaka ajira za muda mfupi kuwa ajira za kudumu na kuzidi kulitwisha shirika mzigo!

.
.
.


Matokeo yake ni shirika kushindwa kujiendesha kiasi cha kuhitaji ruzuku ya serikali kulipa mishahara!
Asante sana
 
Mkuu;
Tuseme hupandi kwa kuwa haipai juu yatembea ka vw au ni kwa kuwa imenunuliwa na serekali. Ushauri wangu wa bure kwa watu wa sampuli yako;
Acha ziletwe kwa wingi nchini. Bei (Nauli) ishuke, wenye safari za ndani tuepuke mabas haya yanayowachinja ndg zetu kila siku. Ndege zipae juu na kutua salama. Nadhani la msingi tungeli iomba serekali hii sikivu, iangalie uongozi unaowekwa. Tusiangalie kadi ya chama, Biashara itakufa kabla haijaanza wakiweka chama chao mbele. Gazeti la uhuru halisomeki kwa sababu bila habari ya sendeka haliruhusiwi kuuzwa. Matokeo yake linapelekwa maofisini tu nako hawalipi.
Wekeni wataalam wa biashara waongoze shirika sio mainjinia. Injinia asimamie karakana
Kaka hata ziwe ndege 100,haziwezi kuwa mbadala wa Yutong,nauli itabaki kuwa expensive, umeona hee walete wataalam wenye weledi co kuchukua makada tu kama walivyofanya kwa TTCL.
 
Tatizo kubwa la ATCL, kama mashirika mengine ya umma, ni gharama za uendeshaji upande wa mishahara ya waajiriwa:
1) Ajira kutolewa nyingi na kiholela ili tu kuhakikisha ndugu wa mabosi wanaotoka vyuoni hawakosi ajira! Utakuta mtu ameishapangiwa kitengo kabla hata hajaenda chuoni kusomea taaluma husika!
2) Mishahara mikubwa, maradufu, kuzidi hali halisi kiasi hata cha kuweza kumvutia mmiliki wa ndege binafsi kuacha biashara ya ndege na kutafuta ajira ya ATCL, maana huko maisha ni rahisi zaidi!
3) Kuzifanya mpaka ajira za muda mfupi kuwa ajira za kudumu na kuzidi kulitwisha shirika mzigo!

.
.
.


Matokeo yake ni shirika kushindwa kujiendesha kiasi cha kuhitaji ruzuku ya serikali kulipa mishahara!
Profesa Mbarawa ameitaka Bodi hiyo kuipa ATCL mifumo imara, makini na mahiri ili kuweza kutatua changamoto zinazoikabili Shirika hilo ikwemo wizi wa mafuta ya ndege na upotevu wa mapato.

Ili kupima ufanisi wa utendaji wa Shirika hilo Profesa Mbarawa ameitaka Bodi hiyo kuandaa mkataba kwa kila mfanyakazi kuanzia ngazi ya juu hadi chini.

Katika hatua nyingine Waziri Mbarawa amesema kuwa Serikali ina mpango wa kununua ndege mbili mpya aina ya Jet ifikapo mwaka 2017 kwa lengo la kuboresha sekta ya usafirishaji wa anga nchini.
 
Back
Top Bottom