Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,671
- 11,338
Aisee
Kwa kauli hizi inainekana ata ndege kupanda ni mpaka upate offer...kwani precision wanatumia ndege gani..mbona watu wanapanda ili hali nauli zao zipo juu...Naam, ndege imeenda shule hii. Kitu kimetulia. Ni jet engine. Yale mapanga shaaaa hata kwa bure sipandi.
Tatizo ATCL wanateuana kwasababu ya kuwa na kadi ya CCM.
Utaalamu unawekwa pembeni.
Pamoja na kuwa na jeuri ya fedha, UAE walimchukua Clark kuisimamisha Emirates ambayo leo ni moja ya shirika linalokuja kwa kasi sana duniani.
Walianza na mtaji wa $10Milion na ndege moja ya kukodi toka Pakistani mwaka 1985. Leo hii wana ndege walau 200+ na wapo kwenye destinations almost 150+.
Biashara ya ndege sio mchezo.
Hiyo ruti hainaga wateja. Connection za kibiashara (hata udugu) mza na kili/chuga na kdg sn nadhani.Hao ni vimeo tu wali cancel safari za route ya Kia- Mwanza sijui ndo nini walifanya sasa
Hii serikali wangekua wasikivu wasingenunua ndege bali chanjo hospitali. Wamekosea vipaumbele sasa majanga yameanza.Mkuu;
Tuseme hupandi kwa kuwa haipai juu yatembea ka vw au ni kwa kuwa imenunuliwa na serekali. Ushauri wangu wa bure kwa watu wa sampuli yako;
Acha ziletwe kwa wingi nchini. Bei (Nauli) ishuke, wenye safari za ndani tuepuke mabas haya yanayowachinja ndg zetu kila siku. Ndege zipae juu na kutua salama. Nadhani la msingi tungeli iomba serekali hii sikivu, iangalie uongozi unaowekwa. Tusiangalie kadi ya chama, Biashara itakufa kabla haijaanza wakiweka chama chao mbele. Gazeti la uhuru halisomeki kwa sababu bila habari ya sendeka haliruhusiwi kuuzwa. Matokeo yake linapelekwa maofisini tu nako hawalipi.
Wekeni wataalam wa biashara waongoze shirika sio mainjinia. Injinia asimamie karakana
Tema mate chini mkuupanga liki meguka angani lazima mpige mbizi kwa hewa![]()
panga liki meguka angani lazima mpige mbizi kwa hewa![]()
Wazo lako ni la msingi sana mkuu.Ubarikiwe kwa maoni yako ya kizalendo.Mkuu;
Tuseme hupandi kwa kuwa haipai juu yatembea ka vw au ni kwa kuwa imenunuliwa na serekali. Ushauri wangu wa bure kwa watu wa sampuli yako;
Acha ziletwe kwa wingi nchini. Bei (Nauli) ishuke, wenye safari za ndani tuepuke mabas haya yanayowachinja ndg zetu kila siku. Ndege zipae juu na kutua salama. Nadhani la msingi tungeli iomba serekali hii sikivu, iangalie uongozi unaowekwa. Tusiangalie kadi ya chama, Biashara itakufa kabla haijaanza wakiweka chama chao mbele. Gazeti la uhuru halisomeki kwa sababu bila habari ya sendeka haliruhusiwi kuuzwa. Matokeo yake linapelekwa maofisini tu nako hawalipi.
Wekeni wataalam wa biashara waongoze shirika sio mainjinia. Injinia asimamie karakana
panga liki meguka angani lazima mpige mbizi kwa hewa![]()
..Punguza vijembe bhana.Asante sanaTatizo kubwa la ATCL, kama mashirika mengine ya umma, ni gharama za uendeshaji upande wa mishahara ya waajiriwa:
1) Ajira kutolewa nyingi na kiholela ili tu kuhakikisha ndugu wa mabosi wanaotoka vyuoni hawakosi ajira! Utakuta mtu ameishapangiwa kitengo kabla hata hajaenda chuoni kusomea taaluma husika!
2) Mishahara mikubwa, maradufu, kuzidi hali halisi kiasi hata cha kuweza kumvutia mmiliki wa ndege binafsi kuacha biashara ya ndege na kutafuta ajira ya ATCL, maana huko maisha ni rahisi zaidi!
3) Kuzifanya mpaka ajira za muda mfupi kuwa ajira za kudumu na kuzidi kulitwisha shirika mzigo!
.
.
.
Matokeo yake ni shirika kushindwa kujiendesha kiasi cha kuhitaji ruzuku ya serikali kulipa mishahara!
Sidhani hata kama hata anajua hizo ndege. Atakuwa amesikia watu wanaponda na yeye amejiunga nao as long ni wa chama kimoja. Watanzania sijui lini tutaanza kuthamini vitu vyetu.Hahahaa mkuu hivi umewahi kupanda ndege kweli! Au nawe ni bendera fuata upepo!
Wachochezi hawa fast jet..Fastjet mnachotaka kufanya Mungu anawaona. Ma Magu pia
Huu ni uchocheziView attachment 405754 Kampuni ya ndege ya Fastjet imepanga kuingiza nchini ndege moja jamii ya Embraer 190 ili kukabiliana na hali ngumu ya sasa ya kibiashara.
Jana Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hiyo, John Corse amesema ndani ya wiki mbili zijazo wataingiza ndege mpya katika safari zake ikiwa ni sehemu ya majaribio ya kutekeleza mkakati wa mabadiliko C&P MCL.View attachment 405750 View attachment 405751
Kaka hata ziwe ndege 100,haziwezi kuwa mbadala wa Yutong,nauli itabaki kuwa expensive, umeona hee walete wataalam wenye weledi co kuchukua makada tu kama walivyofanya kwa TTCL.Mkuu;
Tuseme hupandi kwa kuwa haipai juu yatembea ka vw au ni kwa kuwa imenunuliwa na serekali. Ushauri wangu wa bure kwa watu wa sampuli yako;
Acha ziletwe kwa wingi nchini. Bei (Nauli) ishuke, wenye safari za ndani tuepuke mabas haya yanayowachinja ndg zetu kila siku. Ndege zipae juu na kutua salama. Nadhani la msingi tungeli iomba serekali hii sikivu, iangalie uongozi unaowekwa. Tusiangalie kadi ya chama, Biashara itakufa kabla haijaanza wakiweka chama chao mbele. Gazeti la uhuru halisomeki kwa sababu bila habari ya sendeka haliruhusiwi kuuzwa. Matokeo yake linapelekwa maofisini tu nako hawalipi.
Wekeni wataalam wa biashara waongoze shirika sio mainjinia. Injinia asimamie karakana
Profesa Mbarawa ameitaka Bodi hiyo kuipa ATCL mifumo imara, makini na mahiri ili kuweza kutatua changamoto zinazoikabili Shirika hilo ikwemo wizi wa mafuta ya ndege na upotevu wa mapato.Tatizo kubwa la ATCL, kama mashirika mengine ya umma, ni gharama za uendeshaji upande wa mishahara ya waajiriwa:
1) Ajira kutolewa nyingi na kiholela ili tu kuhakikisha ndugu wa mabosi wanaotoka vyuoni hawakosi ajira! Utakuta mtu ameishapangiwa kitengo kabla hata hajaenda chuoni kusomea taaluma husika!
2) Mishahara mikubwa, maradufu, kuzidi hali halisi kiasi hata cha kuweza kumvutia mmiliki wa ndege binafsi kuacha biashara ya ndege na kutafuta ajira ya ATCL, maana huko maisha ni rahisi zaidi!
3) Kuzifanya mpaka ajira za muda mfupi kuwa ajira za kudumu na kuzidi kulitwisha shirika mzigo!
.
.
.
Matokeo yake ni shirika kushindwa kujiendesha kiasi cha kuhitaji ruzuku ya serikali kulipa mishahara!