Deus F Mallya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 705
- 440
Misumari inazidi kuongezeka kwenye Jeneza la CCM!.. R.I.P
Aweke video tusikie. Aweke na picha anapohutubia. Anatuwekea picha kabla ya Mkutano. Kama si uongo ni nini?
Uongo mtupu!
MWIGULU+NAPE+JK= kifo cha CCM , nakumbuka rahisi JK aliwahi kutabiri kwamba ccm inaweza kumfia , sasa naona sera hawana wamebaki siasa za maji taka
watu waliohudhuria
Watu wakiondoka kwenye mkutano baada ya Mwigulu kutoa maneno yasiyofaa juu ya Dr. Slaa
Moja ya malori yaliyotumika kukusanyia watu kutoka vijijini likisubiri abiria mkutano ukiisha
Leo Mwigulu na Nape waliitisha mkutano Igunga na kutoa hutuba kwa wananchi, wameongea mengi ambayo hayakuwa na tija kwa wanachi wa Igunga na Taifa labda yalikuwa na tija kwa Chama.
Wamesema mengi lakini naorodhesha machache aliyozungumza Mh. Mwigulu:
1. Dr. Slaa ni mzinzi na alimpa mimba mtoto wa shule (baada ya kauli hii watu wengi waliondoka kwenye mkutano)
2. Wakialikwa sehemu watu wenye ndoa Dr. Slaa hatahudhuria
3. Kale kazee (Dr. slaa) kanakula kwa kutembea tembea
4. Yule mzee (Dr. slaa) wazee wenzake wamebaki majumbani wanalea wajukuu yeye kuzurura tu
5. CDM wanategemea mtaji wa mauaji katika mikutano yao ?????????
6. Hata kama uchaguzi ukirudiwa igunga lazima washinde kwani timu ni ile ile ya ushindi
7. Lengo la CDM kukata Rufaa ilikuwa ili Kafumu hasiweze kutekeleza Ilani ya CCM
8. Aliuliza wananchi eti kunakosa hata moja Kafumu kalifanya hadi kuvuliwa ubunge ( Walikaa kimya)
9. Kafumu hakufanya kosa lolote - eti kosa nyie kupewa chakula, eti kosa nyie kujengewa daraja
10. Mnamshangilia Dr. slaa wakati ameikimbia Familia
11. Mnamshangilia Kasulumbai mnajua historia yake anakotoka, Akimwangalia tu mtoto wako anakufa.
Jamani hayo ndiyo maneno ya Mwigulu, naomba tuchangie yanatija na mstakabari wa taifa hili?
Nawasilisha
Thomaso vipi wewe? picha zinajieleza vy kutosha na huyu aliyeleta taarifa alikuwa huko haya basi kama huamini tuambie wewe sasa wamesema nini? Mi nafikiri ndugu zangu huyu Mwigulu mi simshangai kwani hana akili na nafikiri madaraka aliyopewa yamemlevya. Sishangai sana kwa ni ni repeater wa standard seven so akili yake ni nzito sana kupambanua vitu. Na akumbuke kuwa huko aliko wanamtumia kama mua siku utamu ukiisha watamtema na wala hawatamjali sasa kazi zenyewe za siasa hizi sijui atakimblia wapi. Ila dawa yake inachemka ajiandaie labda kupewa ubunge wa kuchaguliwa nafasi maalumu za upendeleo wa kupigiwa kura ausahau. "LIWALO NA LIWE":angry::laser::target:Aweke video tusikie. Aweke na picha anapohutubia. Anatuwekea picha kabla ya Mkutano. Kama si uongo ni nini?
watu waliohudhuria
Watu wakiondoka kwenye mkutano baada ya Mwigulu kutoa maneno yasiyofaa juu ya Dr. Slaa
Moja ya malori yaliyotumika kukusanyia watu kutoka vijijini likisubiri abiria mkutano ukiisha
Leo Mwigulu na Nape waliitisha mkutano Igunga na kutoa hutuba kwa wananchi, wameongea mengi ambayo hayakuwa na tija kwa wanachi wa Igunga na Taifa labda yalikuwa na tija kwa Chama.
Wamesema mengi lakini naorodhesha machache aliyozungumza Mh. Mwigulu:
1. Dr. Slaa ni mzinzi na alimpa mimba mtoto wa shule (baada ya kauli hii watu wengi waliondoka kwenye mkutano)
2. Wakialikwa sehemu watu wenye ndoa Dr. Slaa hatahudhuria
3. Kale kazee (Dr. slaa) kanakula kwa kutembea tembea
4. Yule mzee (Dr. slaa) wazee wenzake wamebaki majumbani wanalea wajukuu yeye kuzurura tu
5. CDM wanategemea mtaji wa mauaji katika mikutano yao ?????????
6. Hata kama uchaguzi ukirudiwa igunga lazima washinde kwani timu ni ile ile ya ushindi
7. Lengo la CDM kukata Rufaa ilikuwa ili Kafumu hasiweze kutekeleza Ilani ya CCM
8. Aliuliza wananchi eti kunakosa hata moja Kafumu kalifanya hadi kuvuliwa ubunge ( Walikaa kimya)
9. Kafumu hakufanya kosa lolote - eti kosa nyie kupewa chakula, eti kosa nyie kujengewa daraja
10. Mnamshangilia Dr. slaa wakati ameikimbia Familia
11. Mnamshangilia Kasulumbai mnajua historia yake anakotoka, Akimwangalia tu mtoto wako anakufa.
Jamani hayo ndiyo maneno ya Mwigulu, naomba tuchangie yanatija na mstakabari wa taifa hili?
Nawasilisha
Uongo mtupu!
Thomaso vipi wewe? picha zinajieleza vy kutosha na huyu aliyeleta taarifa alikuwa huko haya basi kama huamini tuambie wewe sasa wamesema nini? Mi nafikiri ndugu zangu huyu Mwigulu mi simshangai kwani hana akili na nafikiri madaraka aliyopewa yamemlevya. Sishangai sana kwa ni ni repeater wa standard seven so akili yake ni nzito sana kupambanua vitu. Na akumbuke kuwa huko aliko wanamtumia kama mua siku utamu ukiisha watamtema na wala hawatamjali sasa kazi zenyewe za siasa hizi sijui atakimblia wapi. Ila dawa yake inachemka ajiandaie labda kupewa ubunge wa kuchaguliwa nafasi maalumu za upendeleo wa kupigiwa kura ausahau. "LIWALO NA LIWE":angry::laser::target:
Tupe ukweli
Wananchi wanataka maisha bora si porojo za vijiweni.
na degree yako na first class pamoja na masters
wewe mwehu unasikilizwa na wehu wenzako
Nisichoelewa ni kwamba huyu mchumi anafanya nini BoT? jamaa purely ni Propagandalist!!