Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,140
- 14,678
Uongo mtupu.
Duh, kweli System At Work! Unapinga kila hoja!...
Uongo mtupu.
mwigulu mchumba. hili ni jina lake kuanzia leo
Wote hao lameck mkumbo Nchemba na Nape wamezaliwa nje ya ndoa.
mbona huyu inaonesha ndo alikuwa anaenda kwenye mkutano mana hapo si mazingira ya uwanja wa mkutano, mbona hajatuonesha huyo mwigulu na nape! na mbona picha ya juu kabisa kwenye jukwaa kuna mtu m1 nape na mwigulu hawapo, embu tujaribuni kuzifikiria hizi picha, hata kama tunawakosoa hawa jamaa tusije tukawa na sisi vichwa maji bure kwa mjinga mmoja kutuweke vitu ambavyo haviendani na ukweli! mbona picha za kushikiana bastola tumezipata hii ya wao kuhutubia hatuioni?
na zaidi huyo dada hapo mbele anaelekea ndo anakwenda kutafuta riziki yake kwenye huo mkutano kutokana na hizo bidhaa zake kwenye mkokoteni. mkuu INTELLEGENCIA ya wana jf haiko kimajungu majungu wala ki mabwepande mabwepande aisee!
watu waliohudhuria
Watu wakiondoka kwenye mkutano baada ya Mwigulu kutoa maneno yasiyofaa juu ya Dr. Slaa
Moja ya malori yaliyotumika kukusanyia watu kutoka vijijini likisubiri abiria mkutano ukiisha
Leo Mwigulu na Nape waliitisha mkutano Igunga na kutoa hutuba kwa wananchi, wameongea mengi ambayo hayakuwa na tija kwa wanachi wa Igunga na Taifa labda yalikuwa na tija kwa Chama.
Wamesema mengi lakini naorodhesha machache aliyozungumza Mh. Mwigulu:
1. Dr. Slaa ni mzinzi na alimpa mimba mtoto wa shule (baada ya kauli hii watu wengi waliondoka kwenye mkutano)
2. Wakialikwa sehemu watu wenye ndoa Dr. Slaa hatahudhuria
3. Kale kazee (Dr. slaa) kanakula kwa kutembea tembea
4. Yule mzee (Dr. slaa) wazee wenzake wamebaki majumbani wanalea wajukuu yeye kuzurura tu
5. CDM wanategemea mtaji wa mauaji katika mikutano yao ?????????
6. Hata kama uchaguzi ukirudiwa igunga lazima washinde kwani timu ni ile ile ya ushindi
7. Lengo la CDM kukata Rufaa ilikuwa ili Kafumu hasiweze kutekeleza Ilani ya CCM
8. Aliuliza wananchi eti kunakosa hata moja Kafumu kalifanya hadi kuvuliwa ubunge ( Walikaa kimya)
9. Kafumu hakufanya kosa lolote - eti kosa nyie kupewa chakula, eti kosa nyie kujengewa daraja
10. Mnamshangilia Dr. slaa wakati ameikimbia Familia
11. Mnamshangilia Kasulumbai mnajua historia yake anakotoka, Akimwangalia tu mtoto wako anakufa.
Jamani hayo ndiyo maneno ya Mwigulu, naomba tuchangie yanatija na mstakabari wa taifa hili?
Nawasilisha
Uongo mtupu!
Uongo mtupu!
MKUU TANGA KWETU, Haya ya MWIGULU si propaganda, ni kitu kingine kabisa, labda tumuite ni 'mitusist' siyo propandalistNisichoelewa ni kwamba huyu mchumi anafanya nini BoT? jamaa purely ni Propagandalist!!
Uongo mtupu!