bashir omar
Member
- Jul 7, 2012
- 5
- 2
Picha hazielezei uhalisia wa tukio lenyewe, hakuna hata sehemu moja mwigulu alipoonekana akihutubia watu hao wanaosemekana wanaondoka,uongo siyo mzuri sana unajidanganya mwenyewe. Ukitaka kuunganisha story next day unganisha picha na watu pia wahojiwe maoni yao upate kamili. Sawa cdm ina nguvu lakini msiivalishe nguo ambayo siyo yake mwisho itabana. Mapenzi ni ugonjwa ukiyandekeza, penda kiasi. CDM ni kiboko lakini siyo unavyotaka kuonyesha uhalisia.