interahamwe@Umati hausaidii chochote zaidi ya kuongeza watu wanaotegemea maneno matupu"
Lema mwenyewe hajui anafanya nini yaani lema vijana unaowapotosha watakuja kukuandama wewe na kizazi chako hadi cha kumi.
Vijana Jitambueni.
Inaonekana unaishi kwa udanganyifu.Wekd hizo px. Nimepita hapo hamna watu, wachache sana
mkutano umeanza na watu wanazidi kumiminika hapa uwanja wa samunge...View attachment 153916
View attachment 153917
CHADEMA Imepoteza umaarufu sana hapa Arusha, Enzi hizo pakiwa na mkutano wa CHADEMA mjini hapakaliki, shamrashamra kila mahali, Leo hata mimi sikuwa na taarifa ya mkutano huu ndio naona hapa sasa hivi.
Hapo Arusha ni uchaguzi upi walishindwa katika hizi ndogo? Unajifanya kujivua akili hadi sasa umeishapigwa bao CDM 5 - CCM 0cheki hao choka mbaya sura zilivyokakamaa kwa ajil ya gongo, viroba jogoo, na bange! Hapo kama ni karata bac twasema kalamba mjike ndo maana uchaguz wanashindwa!
Hapo Arusha ni uchaguzi upi walishindwa katika hizi ndogo? Unajifanya kujivua akili hadi sasa umeishapigwa bao CDM 5 - CCM 0
Hivi kanda ya kaskazini kwanini hakukuwa na mbio za uzalendo za CCM?
Amebeba nazi yenye uji wa mchele huyo
Zuzu hiloookumbe watu wakiwa wengi ni kipimo cha kuchokwa.teh,teh
Maccm waseme ni picha za maktaba. Halafu wamesema wanamuunga mkono tume ya Warioba. Ndio rasimu iliyopelekwa bungeni na siyo iliyojadiliwa na maccm.
Kwa hiyo ww ni shamba unalimwa na lema?
Huyu jamaa awapo Arusha ni zaidi ya Prezidaa, watu wanampenda mpaka basi. Nipo uwanja wa Samunge hapa kwny mkutano wa leo. Watu ni wengi ajabu, wapo mamia ya akina mama, vijana ndo hawasemeki kwa wingi wao. Wapo pia polisi wengi ninaokaa nao kota za polisi wamevaa kiraia na wanashangilia ile mbaya na wanatamka kumkubali sana huyu jamaa. Kingine wanahoji jamaa ujasiri na kujiamini kupita kiasi kwa Lema. Bado watu wa kutosha wanamwagika. Huyu jamaa kweli jembe la Arusha. CCM msijisumbue kumtoa Lema hapa arusha, miaka 800 hamtaweza kwa ninachokiona hapa, yani labda ccm wakomae na majimbo mengne ila si hapa Geneva, hapa hawataweza kwa jinsi huyu bwana mdogo alivyowashka wakazi wa arusha. Mashahdi wa hili ni RC, RPC na OCD, hawa wawe wakweli kuwaambia ccm wenzao hii nguvu ya Lema arusha na huu umati wa leo haujapata kutokea. Yan kama KIM JONG LI wa Arusha.
Mkutano unaoongozwa na mmbunge wa Arusha mjini. Unafanyka sasa huku wananchi wakiisapoti ukawa kutoka nje na kuacha ccm watengeneze katiba ya chama chao. Watu ni wengi na hakika Serikali tatu ina sapoti kubwa sana. Kwa mtizamo wa mkutano huu Cdm wanatisha. Leo wameanzisha salamu ya kunyoosha vidole vitatu juu kusapoti Serikali tatu kwa kusema peoplessssss Powerrrrrrrrrrr.
Ndugu Topic inahusu Lema na Arusha hayo mengine yanatokea wapi?Kwa akili yako unadhani Tanzania ni Arusha tu! ya chopa 3 kata 3 umeshasahau, ya Kalenga na Chalinze unajifanya huyajui!