Picha na Maelezo; Mkutano wa Godbless Lema Arusha

Picha na Maelezo; Mkutano wa Godbless Lema Arusha

Umati hausaidii chochote zaidi ya kuongeza watu wanaotegemea maneno matupu"
Lema mwenyewe hajui anafanya nini yaani lema vijana unaowapotosha watakuja kukuandama wewe na kizazi chako hadi cha kumi.

Vijana Jitambueni.


Intarahamwe
 
Watu wanakufa kwa mabomu, maisha yamekuwa magumu, hakuna amani, vurugu na kila aina ya shari, wawekezaj wamekimbia, arusha sio geneva of afrika tena

Nani anaua watu? Tafakari kwa kina.
 
Nyie bakini na kichaa wenu huyo mini kabaang awahamasishe kuiba magari.wenye akili na rais wao
It pains that the best city in Tz goes to CDM and there is nothing you can do about it but gloat! The only place you are safe ni vijijini mnakodanganya na tshirt na pilau mijini wameshawakimbia !!!
 
Mkutano wa leo kilombero arusha ni kipimo tosha kuwa lema kachokwa arusha maana ni miaka minne inaisha sasa hakuna alichowafanyia wana arusha. Mkutano hauna watu kabisa.
Na kama CDM wasipokuwa makini 2015 jimbo linarudi CCM. Arusha inahitaji mbunge makini zaidi. Huyu yuliye naye ni mwanaharakati si mwana siasa mzuri. Hata hivyo CDM wakiweka jiwe ligombee ubunge bado bado tutapigia kura CDM.
 
Lema, tatua tatizo la ajira Arusha kama ulivyotoa ahadi vijana wa Arusha wengi wanashinda vijiweni pale makao mapya kwa wauza spea za magari.
 
Hakunaga kama Lema,Wenje,Sugu,Msigwa,Silinde,Mbowe,Mnyika na makanda wengine wa kutosha,wanakubalika ajabu majimboni kwao. Bila pilau,ubwabwa,bahasha za kaki na elfu 10 ndani pamoja na kubeba wahudhuriaji kwa magari,watu wanaenda wenyewe tena kwa kuwahi
 
CHADEMA Imepoteza umaarufu sana hapa Arusha, Enzi hizo pakiwa na mkutano wa CHADEMA mjini hapakaliki, shamrashamra kila mahali, Leo hata mimi sikuwa na taarifa ya mkutano huu ndio naona hapa sasa hivi.
 
Back
Top Bottom