Picha na Maelezo; Mkutano wa Godbless Lema Arusha

Picha na Maelezo; Mkutano wa Godbless Lema Arusha

Vijana nipo dodoma nataka picha tafadhali maana ni haki yangu kama mwana m4c.
Pipoooooooooooooooooooz!
 
Lema ni shidaa,president mwenyewe anamgwaya.:israel::israel:
 
Lema amesema, Mgambo yeyote atakaye nyang'anya na kukanyaga nyanya huyo ni chizi kabla hamjamkamata na kumpeleka polisi tumieni akili......

Asante kamanda kwa maneno ya busara na jasiri hivi
 
Hivi kanda ya kaskazini kwanini hakukuwa na mbio za uzalendo za CCM?
 
Lema amesema, Mgambo yeyote atakaye nyang'anya na kukanyaga nyanya huyo ni chizi kabla hamjamkamata na kumpeleka polisi tumieni akili......

Asante kamanda kwa maneno ya busara na jasiri hivi

Hiyo ndio kauli ya mbunge wetu.
 
Hawa wote hawajaenda sikiliza TBC1 Rais wao anahutubia?Pole zao.
 
Mkutano wa leo kilombero arusha ni kipimo tosha kuwa lema kachokwa arusha maana ni miaka minne inaisha sasa hakuna alichowafanyia wana arusha. Mkutano hauna watu kabisa.
Miaka hamsin ukitoa miaka minne ina baki miaka mingapi na mmefanya nn?
 
Back
Top Bottom