Picha na Maelezo; Mkutano wa Godbless Lema Arusha

Picha na Maelezo; Mkutano wa Godbless Lema Arusha

cheki hao choka mbaya sura zilivyokakamaa kwa ajil ya gongo, viroba jogoo, na bange! Hapo kama ni karata bac twasema kalamba mjike ndo maana uchaguz wanashindwa!

uchaguzi Arusha? CCM njooni na mabomu yenu yakutosha lakini tutawapiga 4-0 au 1 - 0 hapa Arusha hakuna biashara ya sembe hizo biashara...
 
Ukiwa ccm lazma wewe ni bwabwa ..shooooogaaah....ntarahamwe minyambaka
 

Attachments

  • 1398486483557.jpg
    1398486483557.jpg
    15.1 KB · Views: 203
Mi bwabwa huwa isipopewa pesa baada ya shughuli huwa ina hasira...... pole ritz ....ilikua mtungo au??
 
Kama si vitisho vya dola ccm ingelikwisha sahaurika . Hata vitisho hivyo vina mwisho.
 
Wajinga ndio waliwao.
Hivi wajinga huwa tunawapima vipi hasa kwenye siasa, walio tayari kupigwa mabomu ili haki ionekane imetendeka au aliye tayari kupokea sahani ya wali na kanga/kofia kisha kubadili msimamo wake!?
Tufumbuane macho tafadhali.

 
Watanzania wote tungekuwa kama lema tanganyika na zanzibar ingekuwa kama Misri au Malaysia
 
Hivi wajinga huwa tunawapima vipi hasa kwenye siasa, walio tayari kupigwa mabomu ili haki ionekane imetendeka au aliye tayari kupokea sahani ya wali na kanga/kofia kisha kubadili msimamo wake!?
Tufumbuane macho tafadhali.


Unawapima pale unapoona wanachama wanachangishana mia tano mia tani zao halafu kiongozi anazikopa kwa kukigeuza chama ni saccos na anajijengea majumba ya kifahari na mwingine kwa fedha hizo hizo anawauzia magari mtumba kwa bei ya mpya.

Hapo unajuwa hao wanachama si wajinga tu, ni misukule iliyo hai.
 
Unawapima pale unapoona wanachama wanachangishana mia tano mia tani zao halafu kiongozi anazikopa kwa kukigeuza chama ni saccos na anajijengea majumba ya kifahari na mwingine kwa fedha hizo hizo anawauzia magari mtumba kwa bei ya mpya.

Hapo unajuwa hao wanachama si wajinga tu, ni misukule iliyo hai.

hapo umejibu tu kiroho ngumu lakini maneno ya jamaa yamekuchoma maana yana ukwel mchungu,ila kwa vile umekula kiapo cha kuitetea ccm kwenye shida na raha huna namna pole sana aisee!
 
hapo umejibu tu kiroho ngumu lakini maneno ya jamaa yamekuchoma maana yana ukwel mchungu,ila kwa vile umekula kiapo cha kuitetea ccm kwenye shida na raha huna namna pole sana aisee!

Hahahahaha, hayo yako wewe, yangu umeyasoma?
 
Back
Top Bottom