Picha na Maelezo; Mkutano wa Godbless Lema Arusha

Picha na Maelezo; Mkutano wa Godbless Lema Arusha

Asante sana mkuu kwa taarifa, heri nifuatilie hapa nitapata afya ya akili kuliko nimfuatilia bwana James Luhanga
 
Mh. Nanyaro yupo jukwaani muda huu! Anasema mawili matatu yaliyomkuta walipopewa kifinyo pamoja na Naibu meya.
 
Mheshimiwa Nanyaro anasema ya kwamba mgambo wote hapa jijini amegundua ya kwamba ni watumishi wa ccm wote!
Anasema ya kwamba leo asubuhi wamemkamata mama mmoja pale soko kuu na wakamnyang'anya maandazi yapta 80 na wakala yote!
 
Kweli watu washamchoka Lema..... Siku za nyuma lema akiwa na mkutano Arusha nzima inasimama lakini leo naona watu wanaendelea na mishemishe kama kawaida.
 
Mkutano unaoongozwa na mmbunge wa Arusha mjini. Unafanyka sasa huku wananchi wakiisapoti ukawa kutoka nje na kuacha ccm watengeneze katiba ya chama chao. Watu ni wengi na hakika Serikali tatu ina sapoti kubwa sana. Kwa mtizamo wa mkutano huu Cdm wanatisha. Leo wameanzisha salamu ya kunyoosha vidole vitatu juu kusapoti Serikali tatu kwa kusema peoplessssss Powerrrrrrrrrrr.
 
Mheshimiwa Nanyaro anasema ya kwamba mgambo wote hapa jijini amegundua ya kwamba ni watumishi wa ccm wote!
Anasema ya kwamba leo asubuhi wamemkamata mama mmoja pale soko kuu na wakamnyang'anya maandazi yapta 80 na wakala yote!

ccm wabaya jaman
 
Kweli watu washamchoka Lema..... Siku za nyuma lema akiwa na mkutano Arusha nzima inasimama lakini leo naona watu wanaendelea na mishemishe kama kawaida.


Jiangalie kwanza wewe! Njoo hapa kama umepata nafasi wewe!
Acha uongo haikupendezi wewe!
 
Yaani leo nimeelewa kwanini ocd hapendi mikutano ya Lema. Watu ni wengi mno. Ccm hawawezi pata hata robo ya hawa watu.
 
Umati hausaidii chochote zaidi ya kuongeza watu wanaotegemea maneno matupu"
Lema mwenyewe hajui anafanya nini yaani lema vijana unaowapotosha watakuja kukuandama wewe na kizazi chako hadi cha kumi.

Vijana Jitambueni.
 
Back
Top Bottom