Picha na Maelezo; Mkutano wa Godbless Lema Arusha

Picha na Maelezo; Mkutano wa Godbless Lema Arusha

Hivi Lema kwanini hawaambii hao vijana wanaomshabikia wafanye nini ili wawe katika msimamo usioyumba ?

Lema nadhani anahitaji couceling ya kina kabisa maana haingii akilini kila wakati yeye na mikutano isiyo na tija!
 
Hivi Lema kwanini hawaambii hao vijana wanaomshabikia wafanye nini ili wawe katika msimamo usioyumba ?

Lema nadhani anahitaji couceling ya kina kabisa maana haingii akilini kila wakati yeye na mikutano isiyo na tija!
haina tija kwako
 
Arusha imeharibika kwa sababu ya huyu lemaaa

Uwe na adabu unapoandika majina ya watu, hata kama unatofautiana nao kimtazamo. Hivi hata kama ni wewe tukiandika jina la mwenyekiti wako wa chama Mhe. Kikwete tukaondoa K ya katikati utafurahi kweli?! Nyinyi SPIN DOCTORS wa CCM mnakiaibisha sana chama chenu.
 
Naibu Meya anaendelea kuelezea wanainchi jinsi mgambo wanavyonyanyasa raia hapa mjini na mgambo wote wanaonyasa hapa wanajulikana na akiongozwa na Julias Mollel huyu ni adui mkubwa wa wana CDM hapa jijini!
 
Naibu meya amehakiki ya kwamba kesho atamfuata mkurugenzi wa jiji kuhusu mali ya raia na asipopata majibu ya kutosha atatangaza vita zidi ya mgambo na raia.
 
Huyu jamaa awapo Arusha ni zaidi ya Prezidaa, watu wanampenda mpaka basi. Nipo uwanja wa Samunge hapa kwny mkutano wa leo. Watu ni wengi ajabu, wapo mamia ya akina mama, vijana ndo hawasemeki kwa wingi wao. Wapo pia polisi wengi ninaokaa nao kota za polisi wamevaa kiraia na wanashangilia ile mbaya na wanatamka kumkubali sana huyu jamaa. Kingine wanahoji jamaa ujasiri na kujiamini kupita kiasi kwa Lema. Bado watu wa kutosha wanamwagika. Huyu jamaa kweli jembe la Arusha. CCM msijisumbue kumtoa Lema hapa arusha, miaka 800 hamtaweza kwa ninachokiona hapa, yani labda ccm wakomae na majimbo mengne ila si hapa Geneva, hapa hawataweza kwa jinsi huyu bwana mdogo alivyowashka wakazi wa arusha. Mashahdi wa hili ni RC, RPC na OCD, hawa wawe wakweli kuwaambia ccm wenzao hii nguvu ya Lema arusha na huu umati wa leo haujapata kutokea. Yan kama KIM JONG LI wa Arusha.
 
Back
Top Bottom