haya ndo matatizo ya kutopita shule
Wewe Dada unakielele kama cha kwanzaKwa hiyo nyie ni shamba? Namfaham huyu lema mini kabaang, ndio huyo ambaye ww unamzungumzia?
Diwani wetu wa kata ya Kimandolu anaendelea kumwaga sera kama kawa na hakika ameapa damu ya Watanzania iliyomwagika hapa A town haitamwagika tena!
Bendi ya taarabu ya mtu mmoja aka JK wa Mipasho!
Mkutano wa leo kilombero arusha ni kipimo tosha kuwa lema kachokwa arusha maana ni miaka minne inaisha sasa hakuna alichowafanyia wana arusha. Mkutano hauna watu kabisa.
G Lema amtegemeaye binadamu amelaaniwa sasa hao wanaomtegemea Nyerere wote wamelaaniwa wanashindwa kutegemea mawazo yao eti Nyerere
Umati hausaidii chochote zaidi ya kuongeza watu wanaotegemea maneno matupu"
Lema mwenyewe hajui anafanya nini yaani lema vijana unaowapotosha watakuja kukuandama wewe na kizazi chako hadi cha kumi.
Vijana Jitambueni.