Sanctus Mtsimbe
R I P
- Jul 14, 2008
- 1,820
- 1,031
- Thread starter
- #21
kwani hunioni hapo?
Kuna watu wanasikitisha sana katika hiyo picha kuliko marehemu aliyetangulia. Poleni sana.
kuna watu wanasikitisha sana katika hiyo picha kuliko marehemu aliyetangulia. Poleni sana.
natumia nafasi hii kuwapongeza walioudhuria kikao mubalikiwe.
Acheni hizo bana, embu changieni yaliyojadiliwa.Teh teh teh....maisha magumu FF.
Ila kuna wengine ni vijana lakini wamekaa kama wazee.
Acheni hizo bana, embu changieni yaliyojadiliwa.
Maxence Melo on the left, kulia sijui ni mwana JF yupi, baba mzazi wa marehemu?
Asha Dii? Ama was she joking?Nakumbuka alisema this was her...AKA Condi Rice lol
Mada si ni picha za kikao...