Picha na habari Live toka uwanjani Arusha

Picha na habari Live toka uwanjani Arusha

Elineema J Mosi

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2013
Posts
808
Reaction score
148
Ndugu wana Jf,

Nipo hapa uwanjani Ngarinaro, Arusha tunasubiri viongozi wafike niwape updates. Leo Chadema wanazindua kampeni za Udiwani kwa kata 4 zilizotangawa.

Kwa sasa Chopa inapita Arusha nzima wakitupa vipeperushi vyenye picha za wagombea. Bado viongozi hawajafika uwanjani. Ila tayari wagombea wawili wameshawasili, na wengine wawili ndio wamekwenda kuwachukua.

=============================
Picha ya mkutano hapo Ngarinaro
=============================

attachment.php

................
attachment.php
 
Kwa nini wasizindue kwa kila kata kivyake? Ok, tunaomba utupe Updates za kutosha bila kusahau viongozi waliohudhuria hapo!
 
Tantarira chama chaka la makanjanja via makachero! Vijana wamekua mtaji kwa wanasiasa uchuro! Kama wakina lema na wenzake! Mkiambiwa fanyen kazi nyie mnabaki kusubr cdm iwaletee maendeleo. Mtakaa sana wajinga ndio waliwao. Pole zao wanaochangishwa pesa bila kujua zienda wap. Na wale watu wanaoingia kwenye hyo mikutano wamechoka. Ndio maana wanakuwa na muda wa kuja kupigizana kelele na wanafiki kama Zito na wenzake.
 
ni aibu kwa kwa chadema kuelekeza nguvu zao zote kwenye kampeni za udiwani huku wakishindwa kuwawakilisha wananchi ipasavyo bungeni. tumeshuhudia wabunge hao akiwemo lema, lissu na mbowe wakishindwa kutulia na kusimamia mijadala bungeni kwa sababu ya kuratibu kampeni za udiwani
 
ni aibu kwa kwa chadema
kuelekeza nguvu zao zote kwenye kampeni za udiwani huku wakishindwa
kuwawakilisha wananchi ipasavyo bungeni. tumeshuhudia wabunge hao
akiwemo lema, lissu na mbowe wakishindwa kutulia na kusimamia mijadala
bungeni kwa sababu ya kuratibu kampeni za udiwani

kwa kawaida hata yesu alipata mpinzani hvyo sishangai wakati huu watu zaid ya asilimia 60 kupata 0. Hatari sawa wewe gamba.
 
Jamani niko Mat ako Bar hapa mianzini ngoja niwahi
 
Kila lenye heri muangalie msilipuane na mabomu huko

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
usisahau na picha ukiwa unahitimisha, pamoja mkuu
 
Tunawatakia mafanikio,

Japo ninashangaa sana kwamba Chopa inarusha vipeperushi, this is too low for CHADEMA; ni uchafuzi wa mazingira; wangeweza kufikisha ujumbe kwa kutumia SMS, Radio nk. na hivyo vipeperushi kugawiwa kwa watu moja kwa moja na sio kurusha toka hewani.

If you dont know the importance of saving the environment, try to drink your Money where there is no water.
 
Tantarira chama chaka la makanjanja via makachero! Vijana wamekua mtaji kwa wanasiasa uchuro! Kama wakina lema na wenzake! Mkiambiwa fanyen kazi nyie mnabaki kusubr cdm iwaletee maendeleo. Mtakaa sana wajinga ndio waliwao. Pole zao wanaochangishwa pesa bila kujua zienda wap. Na wale watu wanaoingia kwenye hyo mikutano wamechoka. Ndio maana wanakuwa na muda wa kuja kupigizana kelele na wanafiki kama Zito na wenzake.

wanatumia muda wao,nguvu zao,na wanamipangilio yao ya maisha uliwahi kuwalisha, unapowaambia wafanye kazi leo jumamosi waache wakasikilize sera za makamanda usione wivu ndio siasa hizo siasa hazifanywi chumbani kwa mkeo ni kwenye viwanja vya wazi
 
Tunawatakia mafanikio,

Japo ninashangaa sana kwamba Chopa inarusha vipeperushi, this is too low
for CHADEMA; ni uchafuzi wa mazingira; wangeweza kufikisha ujumbe kwa
kutumia SMS, Radio nk. na hivyo vipeperushi kugawiwa kwa watu moja kwa
moja na sio kurusha toka hewani.

If you dont know the importance of saving the environment, try to drink
your Money where there is no water.

kaka sio uchafuzi,watu wanaviokota kaka.
 
Tunawatakia mafanikio,

Japo ninashangaa sana kwamba Chopa inarusha vipeperushi, this is too low for CHADEMA; ni uchafuzi wa mazingira; wangeweza kufikisha ujumbe kwa kutumia SMS, Radio nk. na hivyo vipeperushi kugawiwa kwa watu moja kwa moja na sio kurusha toka hewani.

If you dont know the importance of saving the environment, try to drink your Money where there is no water.

si makosa yako maana hujui njia za kufikisha ujumbe ulivyotofauti
 
maccm nayo kwa wivu hayajambo nani kakuomba hela ya msosi waache wasikilize hoja makini
 
ni aibu kwa kwa chadema kuelekeza nguvu zao zote kwenye kampeni za udiwani huku wakishindwa kuwawakilisha wananchi ipasavyo bungeni. tumeshuhudia wabunge hao akiwemo lema, lissu na mbowe wakishindwa kutulia na kusimamia mijadala bungeni kwa sababu ya kuratibu kampeni za udiwani

Acha kupika habari mkuu.,
1. Heb lete uthibitisho kuwa Lissu, Mbowe na Lema wameshindwa kusimamia hoja bungeni.
2. Diwani ni mtu muhimu kwa wananchi. Yeye ndiye mwakilishi wa wananchi kwenye mabaraza ya maendeleo ya Halmashauri zetu (full council).. Kwann CHADEMA kisitumie nguvu kuwapata madiwani makini?
 
Back
Top Bottom