PICHA: Mwigulu Nchemba alipowasili Mbeya

PICHA: Mwigulu Nchemba alipowasili Mbeya

mw.jpg
mw1.jpg
mw2.jpg
mwi.jpg
mwi1.jpg

mafisadi hõyeeeéeeeeeee
 
mkuu KIBANGA ampiga mkoloni tokea lini hii ID imeanza kuripoti picha za hawa magamba?
 
Last edited by a moderator:
Mbona sioni picha za umati wa watu. Au macho yangu yana shida?
 
Si ndevu tu. Nimejaribu kufikiri hayo mavazi yanaashiria nini sipati jibu. Nyota kwenye kofia yake imekaa ki-Mao, sasa yeye na Mao wapi na wapi! Huyu kasoma vizuri, lakini bila shaka anahitaji msaada fulani.

Mwigulu kachanganyikiwa. Anajaribu kubuni uvaaji akiamini wanachama wenzake watamwiga. Kumbe hayana mvuto!
 
jamaa si anatengenezea watu kesi za kigaidi gaidi, so na yeye kaamua kufuga ndefu za kigaidi gaidi. Dah ila ccm jamani naichukia nikiona hiyo migwanda yaani nataka hata kutapika
 
mwambieni anyoe ndevu utazani kama sio mbunge ni kichaka cha ndevu kazi kweli kweli mchafu kama nini. yuko hivi angekuwa hana ubunge ingekuwaje?
 
Teh teh teh teh ....................Unajua hizo picha kwa mtumuelewa laziama acheke kiukweli munachekesha teh teh teh tih tehheeeee
 
hivi hapa tutamtofautisha vipi na jwtz? mbona mavazi yanafanana? Kazi ipo Tanzania.

...sijue Obama anakuja lini? Zanzibar wanataka uhuru haraka!!

Mkuu JKT ya mwezi mmoja ishatuharibia vjana, mwangalie hapo kakaaa mguu sawa, na magwanda hayo mmhhhhhh
 
hivi hapa tutamtofautisha vipi na jwtz? mbona mavazi yanafanana? Kazi ipo Tanzania.

...sijue Obama anakuja lini? Zanzibar wanataka uhuru haraka!!

huyu jamaa ni kiboko ya slaa.
 
Kajamaa kamekaa kiugoni ugoni huyu bwana Madelu
 
Makamanda wa ccm wanatisha wako tayari kwa ajili ya kuangamiza ufalme wa mzee kufokafoka na kutema mate jukwaani aka mla unga Chuguuuuuuu.

Viroba vya bure vimekuponza,alikuja mkulu mwenyewe hapa mbeya na still sugu ni sugu hata aje nani,mbeya ukiweka jiwe na ccm wagombee ubunge jiwe litapewa kura nyingi as far limesimamishwa na Chadema.we huwajui wanambeya hata kidogo unaropoka kwa vile unaongozwa na nguvu ya viroba
 
Mkuu KIBANGA ampiga mkoloni,huyu Naibu Katibu Mkuu wangu amebadilika sana.Hizi ndevu zisizo na maana lazima zitakuwa zinaathiri utendaji wake tu. Zimekaa kivivu,kikatili na kutojali.

Si ndevu tu. Nimejaribu kufikiri hayo mavazi yanaashiria nini sipati jibu. Nyota kwenye kofia yake imekaa ki-Mao, sasa yeye na Mao wapi na wapi! Huyu kasoma vizuri, lakini bila shaka anahitaji msaada fulani.

Jonas Savimbi!!

Jonas_Savimbi.jpg

mw2.jpg
 
hawa mgambo au...ngoja niendelee kucheka..
haaaahaaa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom