Nao ni makamanda? naona mnaiga sera, mavazi mpaka majina. Mmeshaishiwa mbinu na ubunifu inabidi muige tu. Mwambieni Shitambala na Dhambi wakashone magwanda.Makamanda wa ccm wanatisha wako tayari kwa ajili ya kuangamiza ufalme wa mzee kufokafoka na kutema mate jukwaani aka mla unga Chuguuuuuuu.
Unamaanisha nani anakula unga...?
[MENTION][JFMP3][/JFMP3][/MENTION]Makamanda wa ccm wanatisha wako tayari kwa ajili ya kuangamiza ufalme wa mzee kufokafoka na kutema mate jukwaani aka mla unga Chuguuuuuuu.
[MENTION][JFMP3][/JFMP3][/MENTION]![]()
Kwa wale madaktari ukipata case kama hii kwenye somo la psychiatry (mental health) halafu ukashindwa kupata diagnosis itabidi unyang'anywe cheti. Nyota nyekundu, mikasi isiyo na maana mabegani, makambakamba nguo nzima, mandevu yasiyo na ushirikiano. yaani bila hata ya kuongea na mgonjwa diagnosis iko very clear.
Gamba MkuuHiki kituko alichokivaa ndiyo nini? Kinaonyesha wadhifa upi? Dah!!!
mkuu unaponda huku roho inakuuma make unavyompenda mwigulu unatamani kama angekuwa na wewe kila siku.Duuu aisee nimecheka mpaka mbavu zimeniuma yani kwa akili yao wanadhani chadema imehit kwajili ya combat sasa wanajaribu kuigaiga sale inayoendana na gwanda matokeo yake wanaharibu kama ivo, duu yani jamaa ametisha ndo kwanza anaonekana kama galasa tu, na watambue kwamba gwanda si vazi lao na waelewe kwamba watajiokoa kwa kutekeleza ahadi tu za wananchi kuleta maisha bora kwa kila mtanzania na si vinginginevyo. Kubadili muonekano marra gwanda mara kofia yenye kinyota chekundu zaidi wanaonekana kama walinzi wa maduka ya wahindi tu. Comeooon chemba be serious unavalishwa tu kila kitu at the end u will be rebelized ndo utashangaa alaaa!!! Sheeeeenzi....
Mkuu KIBANGA ampiga mkoloni,huyu Naibu Katibu Mkuu wangu amebadilika sana.Hizi ndevu zisizo na maana lazima zitakuwa zinaathiri utendaji wake tu. Zimekaa kivivu,kikatili na kutojali.
mwigulu anawafanya msilale na mda bado mtachina mwaka huu.![]()
Hawa jamaa wanaachiana madevu, Philip Mangula ameamua kujitoa kwenye club ya wenye madevu ili kumpisha Nchemba awe njomba wa ndevu, chezea nini!
:msela::msela: