SILENT GUNNER
Member
- Jan 23, 2012
- 22
- 9
Duuu aisee nimecheka mpaka mbavu zimeniuma yani kwa akili yao wanadhani chadema imehit kwajili ya combat sasa wanajaribu kuigaiga sale inayoendana na gwanda matokeo yake wanaharibu kama ivo, duu yani jamaa ametisha ndo kwanza anaonekana kama galasa tu, na watambue kwamba gwanda si vazi lao na waelewe kwamba watajiokoa kwa kutekeleza ahadi tu za wananchi kuleta maisha bora kwa kila mtanzania na si vinginginevyo. Kubadili muonekano marra gwanda mara kofia yenye kinyota chekundu zaidi wanaonekana kama walinzi wa maduka ya wahindi tu. Comeooon chemba be serious unavalishwa tu kila kitu at the end u will be rebelized ndo utashangaa alaaa!!! Sheeeeenzi....