nadhani atasafiri na Rais mno katika ngwe hii ya mwisho ya Dr.Samia Suluhu Hassan, nadhani na katika kila safari ya Rais ng'ambo, hastahili kukosa, bilashaka hii itapendeza zaidi mpaka wenye wivu nae wazoee maumivu ya moyo

nadhani atasafiri na Rais mno katika ngwe hii ya mwisho ya Dr.Samia Suluhu Hassan, nadhani na katika kila safari ya Rais ng'ambo, hastahili kukosa, bilashaka hii itapendeza zaidi mpaka wenye wivu nae wazoee maumivu ya moyo![]()