Picha: Mnara wa Babel, fumbo linaloishi

Picha: Mnara wa Babel, fumbo linaloishi

Mungu ni omniscient (He knows everything), hivyo kila kinachotokea Mungu anakijua, yakitokea majanga, japo yanasababishwa na shetani, Mungu alijua na asipozuia inamaana ame approve, hivyo jambo lolote linalotokea, lilikuwa litokee, liwe zuri au baya ni kazi ya Mungu kwa sababu hata shetani yuko chini ya mamlaka ya Mungu.
 
Bwana akashuka ili auone mji na mnara waliokua wakiujenga wanadamu; Bwana akasema, tazama watu hawa ni taifa moja,na lugha yao ni moja na haya ndio wanayotaka kuyafanya,wala sasa hawatazuiliwa neno wanalo kusudia kulifanya. Haya na tushuke huko tuwachafulie usemi wao ili wasisikilizane maneno wao kwa wao! Mungu tuna omba utusikie na hata adui zetu Ccm ukawa chafulie lugha ili wasielewane lugha wao kwa wao!

Babel Tower_Biblical.jpg

Biblical Babel Tower
 
Mungu ni omniscient (He knows everything), hivyo kila kinachotokea Mungu anakijua, yakitokea majanga, japo yanasababishwa na shetani, Mungu alijua na asipozuia inamaana ame approve, hivyo jambo lolote linalotokea, lilikuwa litokee, liwe zuri au baya ni kazi ya Mungu kwa sababu hata shetani yuko chini ya mamlaka ya Mungu.

....aiseehh
 
Mungu ni omniscient (He knows everything), hivyo kila kinachotokea Mungu anakijua, yakitokea majanga, japo yanasababishwa na shetani, Mungu alijua na asipozuia inamaana ame approve, hivyo jambo lolote linalotokea, lilikuwa litokee, liwe zuri au baya ni kazi ya Mungu kwa sababu hata shetani yuko chini ya mamlaka ya Mungu.

Daaah!!
 
....

....Kila jambo na mwisho wake Mungu ibariki Tanzania !!!
 
Woh,hivi ilikuwa September 11 vile duh,UZEE huu ni shida ukishaingia hauna msamaha utaona dalili moja baada ya nyingine.Haya Nisamehe ...................

....Mkuu Tetty upo ??
 
....

....Leo kasema kiongozi wake aliyeko juu ya mti anaongea kichina yeye aliyeko chini ya mti ataongea kireno !!!!

.....Ngoja tusubirie,na tulioko pembeni tunaongea KiswaENGLISH kwa hakika MNARA utakuwa historia...
 
....

.....kwenye kifusi cha babel tutapanda migomba
 
.....ha ha ha hatareee

Mbona unanicheka kaka?Ona Rais anasema jitokezeni wengi kujiandikisha!Anawaambia wanasiasa hakikisheni mnawapa elimu wote ya kwenda kujiandikisha,baadaye na yule wa NEC NAYE anaongea kinyumenyume kweli mwaka huu tumewashika pabaya...yaani hadi raha..kweli mnara wa babeli
 
Mbona unanicheka kaka?Ona Rais anasema jitokezeni wengi kujiandikisha!Anawaambia wanasiasa hakikisheni mnawapa elimu wote ya kwenda kujiandikisha,baadaye na yule wa NEC NAYE anaongea kinyumenyume kweli mwaka huu tumewashika pabaya...yaani hadi raha..kweli mnara wa babeli

.....Historia inakuja Mkapa Mwinyi Amani wamejitenga na fisadi yaaaaani hatareeee ....UKAWA ndani ya nyumba
 
Back
Top Bottom