Picha: Mnara wa Babel, fumbo linaloishi

Picha: Mnara wa Babel, fumbo linaloishi

Jamani wapendwa nashindwa kuandika ninachotaka!! Nahofia kale kasheria ketu!! vipi kameshapita?
 
Mkuu hapa unamaanisha September Elevn..911. ama kuna 1111 pia?

Woh,hivi ilikuwa September 11 vile duh,UZEE huu ni shida ukishaingia hauna msamaha utaona dalili moja baada ya nyingine.Haya Nisamehe ...................
 
...

......Limebaki kuwa simulizi na hili nalo litakuwa simulizi ilikuwa kishindo na itakuwa kishindo .... kiburi na dhambi kwa jumla vinatenganisha watu wasiweze kuelewana wala kuishi pamoja.....

Driving+Tour+2013-09-16+013+copy.jpg


.....Hilo tofali la nyuma mfano wa meza ndo Babel yenyewe ...unaweza kufikiri ni majabali HAPANA ni kazi za binadamu....

Acha uongo dogo hakuna Tower of Babel hizi picha ni za Arches National Park USA, Usilete story za vijiwe hapa
 
Back
Top Bottom