Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,977
- 25,303
- Thread starter
- #61
Unapoteza mda kubishan na Atheist!...
....Kweli Mkuu !!!
Unapoteza mda kubishan na Atheist!...
....Sasa hivi ni kushambulia mwenye mbwa na mbwa atarudi mtaani kama mbwa koko
history ya mnara wa babel ni fake,haukuwai kuwepo
...
......Limebaki kuwa simulizi na hili nalo litakuwa simulizi ilikuwa kishindo na itakuwa kishindo .... kiburi na dhambi kwa jumla vinatenganisha watu wasiweze kuelewana wala kuishi pamoja.....
![]()
.....Hilo tofali la nyuma mfano wa meza ndo Babel yenyewe ...unaweza kufikiri ni majabali HAPANA ni kazi za binadamu....
Kwa hiyo hako "kamnara" ndiyo kalimyogofya Mungu kwamba wanadamu watamfikia? Kwani siku hizi amehama makazi? Maana kuna majengo marefu mara elfu ya hayo magofu nayoona hapo!! Watu wanakweza vyombo mpakka sayari za mbali vipi haogopi, au?:heh:
Mangi Muitori twende taratibu mwerevu wangu, kwa hiyo kilichozungumziwa kwenye biblia siyo mnara huu alioonesha mdau?
Earthmover acha kupiga saundi watu huo siyo mnara, au ulikimbia jiografia!Huyo kapiga jiwe lake huko limetokana na erosion, wala sio mnara ila alipopatia ni aliposema ni Fumbo.
Kwa hiyo hako "kamnara" ndiyo kalimyogofya Mungu kwamba wanadamu watamfikia? Kwani siku hizi amehama makazi? Maana kuna majengo marefu mara elfu ya hayo magofu nayoona hapo!! Watu wanakweza vyombo mpakka sayari za mbali vipi haogopi, au?:heh:
Earthmover acha kupiga saundi watu huo siyo mnara, au ulikimbia jiografia!
Earthmover acha kupiga saundi watu huo siyo mnara, au ulikimbia jiografia!
Unavimaneno kaka haya ngoja tusubiri
Ccm ndo watakuwa mfano WA watu WA Babeli
Scriptures on the wall.
CCM Buriani
Kwa hiyo hako "kamnara" ndiyo kalimyogofya Mungu kwamba wanadamu watamfikia? Kwani siku hizi amehama makazi? Maana kuna majengo marefu mara elfu ya hayo magofu nayoona hapo!! Watu wanakweza vyombo mpakka sayari za mbali vipi haogopi, au?:heh:
sio muda tutawasahau hawa madikteta
zilikua story za kutunga tu.
yale maskyscraper ya dubai,yametokeza mawinguni si ingekua noma sana
history ya mnara wa babel ni fake,haukuwai kuwepo