Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,422
.....mpaka Oktoba kila mtu atakuwa ameshika position ya kusukuma Mnara
Kuna wale wakusubiria MABADILIKO kwenye LUNINGA..................Hawa wanaogopa kupiga KURA eti hawataki kuiona kura yao inachakachuliwa sasa hawa tunawafanyaje?