Picha: Mkutano wa CHADEMA kanda ya Magharibi

Picha: Mkutano wa CHADEMA kanda ya Magharibi

Nilikuwa natafuta buku 7 kwenye huu uzi lakini kwa aibu kubwa imebidi niondoke nikawatafute kwenye uzi mwingine lakini ngoja nipitie MSALANI kidogo kwasababu tumbo linauma
 
Last edited by a moderator:
kama alivyoingia shibuda, mbowe si alishasema hataki mamluki au umesahau mkuu?naomba kuuliza hivi makamu mwenyekiti wa chadema ni nani?
 
Wakati CCM wanaendesha propaganda kwamba CHADEMA inatumia ruzuku vibaya, wakati ambapo buku7 FC wanasema watu wanaenda kushangaa chopa, CHADEMA DAIMA inasonga mbele kuzidi kuwaamsha watu watambue haki zao za kimsingi wanazodhurumiwa na CCM.
attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php
 
kama kuna hoja kwamba watu wanakusanyika kushangaa chopa, basi CCM wanaouwezo wa kutembeza chopa hata 50 wakitaka, wanaouwezo hata wakupika na pilau watu waje wale, wanaouwezo hata wakuwasomba kwa malori toka vijijini waje washangae chopa kwa wingi,
 
Wakati CCM wanaendesha propaganda kwamba CHADEMA inatumia ruzuku vibaya, wakati ambapo buku7 FC wanasema watu wanaenda kushangaa chopa, CHADEMA DAIMA inasonga mbele kuzidi kuwaamsha watu watambue haki zao za kimsingi wanazodhurumiwa na CCM.
attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php

mkuu chadema hawana jipya hapo wanachofanya ni biashara tu ngoja wapange matumizi ya pesa vema ili baada wahalalishe matumizi ya ruzuku yote ya mwezi january.
 
niliwahi kusema hapa jukwaani kuwa chadema ilishakufa kwa sasa inamalizia pumzi ya mwisho tu wala msitegemee jambo jipya toka chadema.
 
Nahisi uchaguzi wa mwaka 2015 matokeo yatakuwa kama ifuatavyo:

CDM 69%; CCM 21%; CUF 6%; NCCR 3% ......Vyama vilivyobaki 0.000002%

Tetesi ni kwamba hata 2010 ilikuwa hivyo, yakachakachuliwa. Chukua TAHADHARI
 
Unaota ndoto gan ww.tz hakuna vyama vya upinzan bt ni ma agent wa ccm so wanatupotezea mwmda tu
 
Hawa jamaa wako vizuri Zito kashapotea tunajenga chama sasa
 
Chadema mpango wa mungu

Bavicha acheni kumdhihaki mungu...!!

Mungu gani anaeweza kutoa baraka kwa viongoz walioasi kutumikia kazi yake na kuzama kwenye zinaa??

Ni mungu gani anaeweza kutoa baraka kwa viongoz walioacha kutumikia ufalme wake kama slaa kisha akawa ananadi kwamba akipewa ikulu ataruhusu uuzaji wa pombe haramu ya gongo wazi wazi??

Chadema ina laaana ya mungu
 
Bavicha acheni kumdhihaki mungu...!!

Mungu gani anaeweza kutoa baraka kwa viongoz walioasi kutumikia kazi yake na kuzama kwenye zinaa??

Ni mungu gani anaeweza kutoa baraka kwa viongoz walioacha kutumikia ufalme wake kama slaa kisha akawa ananadi kwamba akipewa ikulu ataruhusu uuzaji wa pombe haramu ya gongo wazi wazi??

Chadema ina laaana ya mungu

Ni kweli aise maana mungu yupo Lumumba
 
Bavicha acheni kumdhihaki mungu...!!

Mungu gani anaeweza kutoa baraka kwa viongoz walioasi kutumikia kazi yake na kuzama kwenye zinaa??

Ni mungu gani anaeweza kutoa baraka kwa viongoz walioacha kutumikia ufalme wake kama slaa kisha akawa ananadi kwamba akipewa ikulu ataruhusu uuzaji wa pombe haramu ya gongo wazi wazi??

Chadema ina laaana ya mungu

Hapo kwenye Red - Muulize mfalme Daudi!

Laana unaijua wewe?
 
Back
Top Bottom