Picha: Mkutano wa CHADEMA kanda ya Magharibi

Picha: Mkutano wa CHADEMA kanda ya Magharibi

Hii picture ni sooo.......Sijui Wapi Nape na Kinana watapata nauu huko ICU walipo...angalau wapate hata kaadhi kadogo cha kuweza itetea CCM jukwaani.
 
zzk na wenzake huko waliko wanajuta kuwa hai mpaka leo wanatamani hta mauti iwafike ili wasishuhudie makamanda wa ukweli wanavyo izika rasmi ccm...
 
Heeeeeee!!!!! Jamani ccm imekufa dah!
Asante makamanda mliopo uwanja wa mapambano
 
Leo tumeshuhudia chadema wakifanya mikutano kila mahali, tumeshuhudia watu wengi sana wakimiminika kwenye mikutano yao, kwakweli hali hii ikiruhusiwa itatishia usalama wa chama tawala na serikali yake, na kwakweli wakiachiwa hivi watakuja kupanda spirit ya ukombozi wa kweli kwa watanzania wote. wakifanikiwa kufanya hivyo itakuwa hatari sana kwa serikali tukufu ya ccm.

mimi napendekeza serikali ipige marufuku matumizi ya vyombo vya moto nchi hii, yaani Pikipiki, Magari, treni, helcopter na ndege ili kuwakomesha hawa chadema. Serikali iruhusu tu matumizi ya baiskeli nchi hii, na rais awe na baiskeli ya miguu mitatu. Serikali ikiweza kufanya hivyo itakuwa imewakomesha hawa chadema wanaohubiri ukombozi kila mahali badala ya mijini tu.
 
Leo tumeshuhudia chadema wakifanya mikutano kila mahali, tumeshuhudia watu wengi sana wakimiminika kwenye mikutano yao, kwakweli hali hii ikiruhusiwa itatishia usalama wa chama tawala na serikali yake, na kwakweli wakiachiwa hivi watakuja kupanda spirit ya ukombozi wa kweli kwa watanzania wote. wakifanikiwa kufanya hivyo itakuwa hatari sana kwa serikali tukufu ya ccm.

mimi napendekeza serikali ipige marufuku matumizi ya vyombo vya moto nchi hii, yaani Pikipiki, Magari, treni, helcopter na ndege ili kuwakomesha hawa chadema. Serikali iruhusu tu matumizi ya baiskeli nchi hii, na rais awe na baiskeli ya miguu mitatu. Serikali ikiweza kufanya hivyo itakuwa imewakomesha hawa chadema wanaohubiri ukombozi kila mahali badala ya mijini tu.

Ha ha ha mkuu ccm ndo basi tena hii operation ya cdm ndo imekuja kukata mzii wa fitna.
 
Wapigwe tu maana hakuna njia nyingine,na wananchi wamechoka kuibuka,wamechoka kukosa dawa wanapokwenda kwenye hospital,wamechoka kuona watoto wao wanakaa chini kwa kukosa madawa ti . wananchi wamechoka kwa ugumu wa maisha yanayopanda kila siku . hivyo hakuna namna magamba yapigwe tu pamoja na mawaziri wao mizigo wapigwe tu.
Viva chadema,M4C pamoja daima
 
Achana na Chadema kabisa.Chadema inatisha.Chadema inatikisa nchi.

Asante Mbowe.Asante Slaa.Mashujaa wangu Mungu awabariki na kuwalinda milele.
 
Leo tumeshuhudia chadema wakifanya mikutano kila mahali, tumeshuhudia watu wengi sana wakimiminika kwenye mikutano yao, kwakweli hali hii ikiruhusiwa itatishia usalama wa chama tawala na serikali yake, na kwakweli wakiachiwa hivi watakuja kupanda spirit ya ukombozi wa kweli kwa watanzania wote. wakifanikiwa kufanya hivyo itakuwa hatari sana kwa serikali tukufu ya ccm.

mimi napendekeza serikali ipige marufuku matumizi ya vyombo vya moto nchi hii, yaani Pikipiki, Magari, treni, helcopter na ndege ili kuwakomesha hawa chadema. Serikali iruhusu tu matumizi ya baiskeli nchi hii, na rais awe na baiskeli ya miguu mitatu. Serikali ikiweza kufanya hivyo itakuwa imewakomesha hawa chadema wanaohubiri ukombozi kila mahali badala ya mijini tu.

Serikali hii ni sikivu, wamekusikia!!!
 
Tuimbe kwa pamoja makamandaaa!!
palapanda italia palapanda *2
nayo magaaamba yatakuwa yamekwisha nyakuliwaaa... kwenda waaaapi? kuiraki CDM magogoniiii *2
naye KINANA.... atakuwa amekwisha nyakuliwaaaa
naye MWIGULU....
atakuwa amekwisha nyakuliwaaaaa
naye LOWASSA....
atakuwa amekwisha nyakuliwaaaa
kwenda wapiii...?!
teh teh teh!!
CCM lazima WAKAE!!
 
Back
Top Bottom