Picha: Mkutano wa CHADEMA kanda ya Magharibi

Picha: Mkutano wa CHADEMA kanda ya Magharibi

Kwikwikwikwiiiii jamani mnafanya magamba yajinyonge duuu chedema kweli ni mpango wa Mungu
Tuimbe kwa pamoja makamandaaa!!
palapanda italia palapanda *2
nayo magaaamba yatakuwa yamekwisha nyakuliwaaa... kwenda waaaapi? kuiraki CDM magogoniiii *2
naye KINANA.... atakuwa amekwisha nyakuliwaaaa
naye MWIGULU....
atakuwa amekwisha nyakuliwaaaaa
naye LOWASSA....
atakuwa amekwisha nyakuliwaaaa
kwenda wapiii...?!
teh teh teh!!
CCM lazima WAKAE!!
 
Wakiandikisha daftari la wapiga kura vizuri CCm itakuwa na wabunge 3 tu....deo, lugola na ally kessy,
 
Wakiandikisha daftari la wapiga kura vizuri CCm itakuwa na wabunge 3 tu....deo, lugola na ally kessy,

Hata wasipoandiksha. Hao hao wanaofikiri ni wao hawatakuwa. Wachague kunyoa au kusuka
 
Hata wasipoandiksha. Hao hao wanaofikiri ni wao hawatakuwa. Wachague kunyoa au kusuka
Ni kweli mkuu...yaani huku miaani...ni kubaya mno kwa cCM mimi nakutana na vijana na kudiscuss politics kwenye vijiwe...hali ni mbaya mno
 
M4c pamoja mpaka kieleweke kudadadadadeki
 
Tuimbe kwa pamoja makamandaaa!!
palapanda italia palapanda *2
nayo magaaamba yatakuwa yamekwisha nyakuliwaaa... kwenda waaaapi? kuiraki CDM magogoniiii *2
naye KINANA.... atakuwa amekwisha nyakuliwaaaa
naye MWIGULU....
atakuwa amekwisha nyakuliwaaaaa
naye LOWASSA....
atakuwa amekwisha nyakuliwaaaa
kwenda wapiii...?!
teh teh teh!!
CCM lazima WAKAE!!

CCM wamekitoa kitufe cha Like..
 
Chadema habari ya MABADILIKO

jamani chama cha magamba Wameondoa mizigo wameweka Mawaziri KI.FU.SI

UTANI mwezi mzima wakateua KEJELI
 
sixgates na wenzake wanachungulia kwa mbaaaliiiii, ngoma ya chadema haichezwi kwa kanga moja ama msuli utajonyea ngoma nzito hii

M4c pamoja daima.
 
Last edited by a moderator:
Chadema habari ya MABADILIKO

jamani chama cha magamba Wameondoa mizigo wameweka Mawaziri KI.FU.SI

UTANI mwezi mzima wakateua KEJELI

Inawezekana MaCCM yamemchosha hata JK hivyo ameamua kuyaondoa kiaina. Anaweza akawa ni mpenda mabadiliko ya kweli na anaisafishia CDM njia ya kuingia Ikulu.
Vinginevyo hili wimbi la hizi operation litakuwa linaichanganya sana CCM. Na hawajui watumie mbinu gani tena. Waliinvest matumaini yao zaidi kwa Yuda Iskariote(asomaye na afahamu) lakini wakasahau kuwa kila linalofanyika kwa siri gizani,huwa linawekwa Nuruni na Mungu. Kufumuka kwa mipango miovu limekuwa pigo takatifu na limewachanganya sana wasaliti wa mageuzi ya kweli.
CDM vita hii ya ukombozi msisahau kumshukuru Mungu kwa ukombozi wa kweli ktk sala zenu za kila siku.
Tulianza na Mungu, tunaendelea na Mungu na Tutamaliza na Mungu.
 
ushahuri ni kua wawe wanajipanga vizur kwa hoja wasiwe wanacheksha tu jukwaani afu basi wajenge point bila utani wala vichkesho.
 
Itabidi CCM wamnunie Zitto ni kwa nini ameshindwa kuisambaratisha CDM!! Ametafuna mamilioni ya pesa zao lakini ndo kwanza CDM inaendelea kushamiri!

Nakwambia watam-murder huyu Yuda maana ni sehemu ya sera na mikakati yao kwa wapinzani na waliyotumwa kisha wakashindwa kutekeleza yale aliyotumwa kwayo.
 
Back
Top Bottom