Acha kujipendekeza kupita kiasi, ukweli ni kwamba CHADEMA ilipofika sasa hivi si Mbowe, Dr. Slaa, ZZK au yeyote anayedhani umaarufu alionao ni wa "One person show" akiondoka hakifi na wenyewe wanaelewa hivyo. Ndiyo maana watabiri wa "Vifo" kina Wassira wamebaki kuhunyahunya mithili ya paka shume lililofumwa likiiba mbogaZito ndio injini ya CHADEMA,akihama CHADEMA kwisha habari yake.
Naona Zitto ameamua kuanza kummaliza Slaa kwa kuanza na mashambulizi ya nyumbani kwake. Am sure with time Zitto atakuwa maarufu Karatu kuliko Slaa.
kwenye lilee tanuri la matusi wanaloita tanuri la fikraHuyu Said Kulwa ukitaka kumjua nenda wall page ya Habib Mchange kila siku anawatukana matusi ya nguoni Mbowe/Dr Slaa/John Heche utadhani hakuzaliwa na mwanamke!
Kila kiongozi wa CDM anatafuta kutoka kivyake. Kila mtu ana mtizamo wake, CDM kama chama hakina common goal. Kwa anachokifanya Zitto siyo kitu cha kushangazaNadhani unamaanisha hivi karibuni atakuwa maatufu kuliko chadema. Asike akajikuta anaowahutubia wanatafuta kwenye karatasi ya kura chamacha Zitto. Manake yeye haendi kama chadema,anaenda kama yeye.
Huu mkutano wa lini weka tarehe maana jana nasari alikuwa ngarenanyuki na king'ori kwenye jimbo lake na mimi nilishuhudia huu wa lini
Watu wa JF bana ukileta maneno hapa hawata kuamini hata ukiwa malaika....
Kila kiongozi wa CDM anatafuta kutoka kivyake. Kila mtu ana mtizamo wake, CDM kama chama hakina common goal. Kwa anachokifanya Zitto siyo kitu cha kushangaza
Hilo nalo neno mkuu!! Naona kuna similarities kdg kimkakati na magamba! CDM have to stop their dfferences and have the same ground. Hata kama kuna tofauti katika kufanya maamuzi hizo ndo gharama za kuwa katika kikundi kimoja kikubwa ambapo maamuzi wakati mwingine hufanyika sivyo baadhi ya watu wanavyotaka. This is the weakest point of the so called "democrasy". Lakini pia hakuna mtu asiyekuwa na mapungufu, mhimu ni kukabiliana nayo kwa njia halali siyo kuwindana au kuviziana huku mkiogopana kuelezana ukweli hata kama mmoja utamuuma.Kila kiongozi wa CDM anatafuta kutoka kivyake. Kila mtu ana mtizamo wake, CDM kama chama hakina common goal. Kwa anachokifanya Zitto siyo kitu cha kushangaza
Unapoweka picha pekee sio kiwakilishi kizuri cha mkutano ni vizuri ukatuwekea na maneno yaliyoongelewa katika mkutano huo ili tuweze kuchangia