CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Ila mkuu Zito Pekee ndo Amepigwa Picha? Hao wengine hawakupigwa Picha? au hawakupanda Jukwaani?
Mbunge wa Karatu hakuweza kufika?
huu mkutano wa lini weka tarehe maana jana nasari alikuwa ngarenanyuki na king'ori kwenye jimbo lake na mimi nilishuhudia huu wa lini
alikuwepo...mh:mchungaji akunayembunge wa karatu hakuweza kufika?
leo mkuu..nassari alikuwepo,lissu,akunaye na rose kamili
Mkuu Crashwise,
Leo upo Arusha au Karatu??
TUMBIRI (PhD, University of HULL - UK),
tumbiri@jamiiforums.com
Hahaha TUMBIRI bana kwani karatu siyo Arusha. Niko safarini
Zito ndio injini ya CHADEMA,akihama CHADEMA kwisha habari yake.
Mbunge wa Karatu hakuweza kufika?