Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,142
- 27,159
Leo nimefika Kigoma kwa ajili ya mambo mbalimbali, lakini kwa kuwa chadema watakua na mkutano hapa imenibidi napo nitafute kujua nini kinaendelea.
Nimezunguka mitaa mbalimbali kuuliza wananchi kuhusu huu mkutano na wanasema nini kuhusu chadema, nimegundua Chadema huku hawapendwi. Wananchi wengi wameonyesha kuwa busy na shughuli za kiuchumi.
Wapo wananchi wengi ambao wamesema hawatahudhuria kabisa huo mkutano. Hili ni pigo kwa chadema kwa kuwa walitegemea kuungwa mkono Ila matokeo yake wananchi wamewakataa.
Hali ikiendelea hivi kuna hati hati ya mkutano kuhairishwa, mkutano ni watu. Sidhani kama.chadema wanaweza kukubali kufanya mkutano kwa watu kiduchu.
Nitawajuza kila kinachoendelea na picha na video nitawaletea, maana kumekua na tabia ya kutumia picha za 2015 za lowassa.
Nimezunguka mitaa mbalimbali kuuliza wananchi kuhusu huu mkutano na wanasema nini kuhusu chadema, nimegundua Chadema huku hawapendwi. Wananchi wengi wameonyesha kuwa busy na shughuli za kiuchumi.
Wapo wananchi wengi ambao wamesema hawatahudhuria kabisa huo mkutano. Hili ni pigo kwa chadema kwa kuwa walitegemea kuungwa mkono Ila matokeo yake wananchi wamewakataa.
Hali ikiendelea hivi kuna hati hati ya mkutano kuhairishwa, mkutano ni watu. Sidhani kama.chadema wanaweza kukubali kufanya mkutano kwa watu kiduchu.
Nitawajuza kila kinachoendelea na picha na video nitawaletea, maana kumekua na tabia ya kutumia picha za 2015 za lowassa.