mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 946
Tatizo lenu CHADEMA mmefukuza wasomi wote mashudu,hamuwezi kufikiri tena.Mbona hata hicho kipeperushi cha majungu cha DJ MBOWE Tanzania Daima kinaandika.[/QUOTWe boya hela zitawatokea puani hizo....ccm unataka kumtoa madarakani huyo huyo akushabikie na akupe promo kwenye vyombo vyake vya habari..we kweli boya na zero kama huo mchezo huujui au na wewe ni mmoja wa wafaidika wa fedha toka ccm ...niunganishe na mimi mwaka wa kupiga hela huu
Umeongea jambo la mbolea sana.
Kuna wakati nilihudhuria mkutano mmoja ulifanyika kijijini kwelikweli, alafu mkutano mzima yanatajwa majina tu ya watu ambayo wanakijiji wenzetu ata hawajui kama ni mnyama au ni mdudu. Wanakijiji wale hawakuambiwa ata jambo moja kuhusu kilimo chao wala namna gani maisha yao yatabadilishwa.Hizi ni aina ya siasa za zamani ambazo zimepitwa na wakati.
Watanzania wanataka mabadiliko na kwa namna ya siasa zilivyo sasa hakika wanapaswa wapate mabadiliko.Mabadiliko kuondokana na siasa za taarabu na kuwa siasa za kushindania masuluhisho ya matatizo ya watu.Kutoka kwenye siasa za matusi na kashfa na kuelekea kwenye kushindania sera na mfumo bora zaidi wa kuleta maendeleo na kutatua matatizo yaliyopo katika nchi.
Hii ndio njia ambayo ACT wanataka kuifuata.Tuwaunge mkono.
[QWe boya hela zitawatokea puani hizo....ccm unataka kumtoa madarakani huyo huyo akushabikie na akupe promo kwenye vyombo vyake vya habari..we kweli boya na zero kama huo mchezo huujui au na wewe ni mmoja wa wafaidika wa fedha toka ccm ...niunganishe na mimi mwaka wa kupiga hela huu
View attachment 243674View attachment 243675View attachment 243676View attachment 243678View attachment 243678
Kazi ya kufyeka pori na kusambaza Uzalendo inaendelea, Singida leo umefanyika mkutano mkubwa uliofanikiwa sana.
ACT WAZALENDOOOO
wanaoneshwa sana TBC lakini wataiumiza CCM mfano Dodoma , Singida ,Songea wanaiparura CCM huku wakijifanya wanahujumu upinzani heko ACT mnisamehe sikuwaelewa sasa nasema go, go goHongera Zitto kwa ACT yako kuukubaliwa kirahisi na vyombo vya DOLA,si msajili wa vyama wala polisi wote wamekukubali Zitto.Mikutano yako inaruhususiwa kufika hata saa mbili usiku.Nafikiri hata vibali unavyo permanent mfukoni.Vyama vya upinzani vingine havina fursa hiyo.
wanaoneshwa sana TBC lakini wataiumiza CCM mfano Dodoma , Singida ,Songea wanaiparura CCM huku wakijifanya wanahujumu upinzani heko ACT mnisamehe sikuwaelewa sasa nasema go, go go
Wee kweli boya na msukule wa zito...eti siasa safii...tbc_ccm wanaonyesha mikutano yenu habari leo wanaitangaza jambo leo ndo usiseme...vyuo na shule za kata vimeharb uwezo wa kufikiri wa watu....niunganisheni na mimi tupige wote hizo hela za ccm...kamanda wa act nipo mwanza kiongozi niunganishe tule wote hzo hela na nna siri nyingi sana za cdmWanasiasa wasio na hoja ya kutegemea uzushi, uongo na propaganda lakini bahati mbaya kwao mwisho wa siasa hizo hatimaye umefika.
Watanzania sasa wanahitaji siasa za masuluhisho ya matatizo yao na zenye dira ya njia bora zaidi ya kuwaletea maendeleo yao.
ACT WAZALENDO, TAIFA KWANZA, TURUDI KWENYE MISINGI
KAMA WALIVYO MBANIA POGBA MAN U,AKAENDA JUVENTUS SASA NI KIUNGO BORA DUNIANI,FERGERSON MBAYA SANA NA HUKU KWETU WAKINA MTEI WABAYA SANA.iZitto kwenye ubora wake.
Nguvu ya soda.Subiri,CDM inajipanga kukimaliza kabisa.AcT=Zito
Wee kweli boya na msukule wa zito...eti siasa safii...tbc_ccm wanaonyesha mikutano yenu habari leo wanaitangaza jambo leo ndo usiseme...vyuo na shule za kata vimeharb uwezo wa kufikiri wa watu....niunganisheni na mimi tupige wote hizo hela za ccm...kamanda wa act nipo mwanza kiongozi niunganishe tule wote hzo hela na nna siri nyingi sana za cdm
KAMA WALIVYO MBANIA POGBA MAN U,AKAENDA JUVENTUS SASA NI KIUNGO BORA DUNIANI,FERGERSON MBAYA SANA NA HUKU KWETU WAKINA MTEI WABAYA SANA.i
Dah hiki chama nimeanza kukielewa kwa kweli
Bado hujaanza kuongea hoja?bado upo kwenye siasa za kale??treni ya mabadiliko imeishaanza safari!
Wanasiasa wasio na hoja ya hutegemea uzushi, uongo na propaganda lakini bahati mbaya kwao mwisho wa siasa hizo hatimaye umefika.
Watanzania sasa wanahitaji siasa za masuluhisho ya matatizo yao na zenye dira ya njia bora zaidi ya kuwaletea maendeleo yao.
ACT WAZALENDO, TAIFA KWANZA, TURUDI KWENYE MISINGI
hivi zito unaweza mlinganisha na nani kutoka chadema? me bado sijaona.
mkuu hakuna hata mmoja hata ukiziunganisha akili zao wote hawawezi kufikia zitto. ...zitto ni engine bwana.