Picha: Mikutano na Dr.slaa ni Taabani huko Tabora

Picha: Mikutano na Dr.slaa ni Taabani huko Tabora

hvi ulitarajia mkutano ktk kijiji uwe na mahudhurio ya watu elfu kumi au? hyo ni tabora ambapo chama bado knajijenga...hutarajii umati kama wa mwanza au kgoma...try 2b more objective. kama umati huo ungekuwa irnga au mbeya hapo ungekuwa na furaha kwamba CDM ndo inaishia porin....
 
Afadhali ungekuja kwa stahili nyingine ila siyo Tabora maana Dr amepokelewa kwa shangwe kila kona ya Tabora
Shame on you na bado twaja

 
Nionavyo mimi hyo picha ya kutengeneza haina mashiko kabisa kwa watu wenye uwezo wa kufikiria kiakili hvyo tusiamini katika hyo picha ni propaganda tu.

hapana mkuu mimi naona ni picha halisi ila hapo ni kijijini ndani kabisa ndo mana unaona hata nyumba za tembe na nyasi,Sasa kama kwa kijijini dr anaweza kupata watu kiasi hicho na wote wakaamua kupiga kura cdm nakuhakikishia mkuu maccm yatafute kwa kukimbilia hao ni watu wengi sana kwa mazingira ya kijijini
 
Nipo Kishumundu,Moshi Mkuu

attachment.php
 
Mtu akiwa na uchungu+ stress akifanya mambo ya namna hii yanampa nafuu ya muda. Hii ni hatua ya pili na kama hali itaendelea ataingia hatua ya tatu. Hapo matibabu ya haraka ni muhimu. Kablya kingia hatua ya nne ambayo haina tiba ya moja kwa moja ila kutuliza kwa muda.
 
Back
Top Bottom