PICHA: Mbowe ampongeza rais Kikwete...

Mbowe kamuua kabisa Padri Slaa leo hapa ilipo PADRI Slaa anasubiri kuzikwa kabisa kisiasa hahahaha HONGERA MBOWE ila hongera zaidi ZZK kwani ule msemo wako uupendao zaidi wa BAKIZENI AKIBA YA MANENO sasa unamtokea puani PADRI SLAA kwani kamaliza maneno yote sasa kageukia MIPASHO na UMBEA
 
Siasa za afrika watu wamezoea kupingana kwa kutumia nguvu, badala ya kupingana kwa hoja.hapo mh. Mbowa mempokea kama rais na si mwenyekiti wa ccm. Watanzania tujifunze maana ya demokrasia!
 
Mheshimiwa Mbowe akipanga mikakati na Rais Jakaya Kikwete ;

attachment.php


jakaya 'anapiga mzinga' kwa kamanda wetu.
 
Mbowe kamuua kabisa Padri Slaa leo hapa ilipo PADRI Slaa anasubiri kuzikwa kabisa kisiasa hahahaha HONGERA MBOWE ila hongera zaidi ZZK kwani ule msemo wako uupendao zaidi wa BAKIZENI AKIBA YA MANENO sasa unamtokea puani PADRI SLAA kwani kamaliza maneno yote sasa kageukia MIPASHO na UMBEA
acha uwongo mkuu,nyinyi ni miongoni mwa watanzania mnaoamini kuwa upinzani ni kupigana,upinzani ni kutofautiana kifikra na si vinginevyo, upinzani hautuondolei utanzania wetu. Lengo letu ni moja nalo ni kujenga tanzania yenye neema. Dk slaa na kikwete wanakutana mara nyingi kuzungumzia masuala ya kitaifa. Jifunzeni maana ya demokrasia,maana inawezekana wewe ni miongoni mwa wanaotumia nguvu kwenye uchaguzi,badala ya nguvu ya hoja!
 
Ili kuondoa mzizi wa fitina na uropokaji hebu toa mfano wa tamko lilitolewa na katibu mkuu linalo pinga maendeleo ili twende sawa!

Imekuwa ni kawaida kwa WanaCDM wakiongozwa na Katibu wao Mkuu kutoa matamko yasiyo na tija hasa katika swala la maendeleo ya Taifa letu, matamko ambayo mengi yamejaa kejeli na uhuni unaopaswa kupuuziwa kuliko upuuzi wenyewe.

Katika kudhihirisha kuwa hawajui wayanenayo leo Mwenyekiti wa CDM Taifa amesikika akitoa tamko ambalo kimsingi litakuwa kama funzo kwa Katibu wake Mkuu na baadhi ya WanaCDM.

Mbowe kasema yeye amezunguka sana hapa Nchini kwa anga na barabara na amejionea maendeleo ambayo Serikali ya CCM imefikia na kwa hilo anampongeza Rais pamoja na Serikali yake. Hapa Mbowe hakutaka kumumunya maneno hata kidogo.

Hili ni fundisho kwa Slaa na wenzie ambao wamezoea kutamka kuwa miaka 50 CCM haijafanya kitu. Lakini nimekuja kugundua kuwa Samaki akianza kuzeeka huanzia kwenye Ubongo.

Mh. Freeman hongera sana kwa hayo uliyoyaona na kuyasema na tunaamini kuwa utaendelea kuwaeleza na hao wengine na wataelewa tu taratibu
 
Ben maendeleo ya miaka 50 yanafananaje? nadhani kwa mawazo yako tungekuwa tunatengeneza ndege sasa!

Naamini wewe ni mfuasi wa Mwalimu Nyerere na hujawahi kumkosoa hata siku moja.Katika hiyo miaka 50 unayolilia, Mwalimu ametumia karibu nusu akiwa Madarakani.Swali langu ni je!Nyerere anapaswa kutupiwa lawama????
Ama tutaendelea kuishi kwa ''imagination'' through out!

Tuwe tunasoma historia vizuri kabla ya kukosoa ama kuhukumu.Unaambiwa nchi imeanza kujijenga miaka ya 80 baada ya ukombozi wa Afrika angalau kueleke tamati, mbona hili ulisemi?

Hii ni principle tu hata katika maisha kwawaida, mara nyingi maendeleo ya mtu anaesaidia ndugu zake saana huchelewa tofauti na yule mwenye mkono wa birika.

Kwenye red: Yanafanana na South Korea, Malaysia & Singapore.

About Mwl Nyerere. He made some blunders, big blunders, but he also lef a few things behind: Elimu bure, huduma za afya bure,General Tyres, Mwatex, Machine Tools, Tanganyika Packers, Tanneries, Air Tanzania na ndugu na jamaa marafiki. And here is the catch, yote haya yalifanyika kwa hela ya pareto, coffee, tumbaku na korosho.

Sasa hivi tuna shule za kata -not bad!
 
Kwenye red: Yanafanana na South Korea, Malaysia & Singapore.

About Mwl Nyerere. He made some blunders, big blunders, but he also lef a few things behing: Elimu bure, huduma za afya bure,General Tyres, Mwatex, Machine Tools, Tanganyika Packers, Tanneries, Air Tanzania na ndugu na jamaa marafiki. And here is the catch, yote haya yalifanyika kwa hela ya pareto, coffee, tumbaku na korosho.

Sasa hivi tuna shule za kata -not bad!
Asante Mkuu maana kuna wakati mwingine vidole vyangu hupata kigugumizi hapa JF. Watu hawaelewi maana ya Uraisi.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
angekua zitto ungewasikia pro chadema wangemrukia zitto, hapo hapo vipi?
Zitto alishasifia-ga barabara zake za kule Manyovu, Kazurzmimba kuwa Jk kapabadilisha hajawahi tokea wapambe wa CDM walimwangukia utafikiri mpira wa kona lkn leo wote kimya!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Tanzania tunayoitaka ndio hii. Pamoja na tofauiti zetu kiitikadi, tunatakiwa kuheshimiana na kupendana. Hii ya kuchomeana nyumba za ibada na kuchinjana HAIFAI!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Mbowe kazini, jk kazini, kilaza mkuu wa wilaya mnafiki sana simpendi binafsi namfahamu kuliko watu wengi humu jf. Najua yuko humu hakika ni mnafiki mtajajua subirini ni dhaifu zaidi ya mkuu wake novatus we ni ..... Nakuchukia kuliko unavyohisi unahisi umepewa dunia kuimiliki kwa ukuu wa wilaya we ni,,.. Toka
 
Siasa siyo uadui watanganyika wenzangu mbona mko hivyo lakini?
Askofu wa Katoliki na wa Lutheran wakikutana hawacheki pamoja? je, imani zao ziko sawa kwa 100%?
 
Ni ishara njema ya mustakabari wa taifa letu,kwani kidole kimoja......na upinzani siku zote si kupinga kila kitu bali kushirikishwa/kushiriki bega kwa bega na serikali iliyoko madarakani katika kuleta maendeleo endelevu.kiukweli ni jambo la burasa sana na ni chachu ya amani na utulivu,hongereni sana.
 
Mbowe kamuua kabisa Padri Slaa leo hapa ilipo PADRI Slaa anasubiri kuzikwa kabisa kisiasa hahahaha HONGERA MBOWE ila hongera zaidi ZZK kwani ule msemo wako uupendao zaidi wa BAKIZENI AKIBA YA MANENO sasa unamtokea puani PADRI SLAA kwani kamaliza maneno yote sasa kageukia MIPASHO na UMBEA
Mawazo yako ni kama ya nguruwe mzee, yamejaa chuki na hasira badala ya busara na hekima na ulivyo mjinga hujaona kuwa chuki yako binafsi haina manufaa kwako wala kwa wapumbavu wenzako!
 
freeman mbowe mwenyekiti wa cdm amempongeza raisi jk kwa ujenzi wa miundo mbinu hasa ya barabara hii inaonyesha ukomavu wa kisiasa kwani angeweza kumtolea vijembe na kejeli lakini nadhani hii pongezi haiondoi ukweli kuwa kuna pengo kubwa sana kati ya kilichofanyika na kilichotakiwa kufanyika hasa ukizingatia rasilimali tulizonazo
nawasilisha


kidogo si haba,kwani kuna waliokosa huo mradi mahala pengine.
 
Back
Top Bottom