nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
sasa wewe unataka serikali iruhusu chama gani kiwe na sungusungu?Serikali ya CCM kweli dhaifu, kama kila chama kitakuwa na sungusungu, basi tunaelekea pabaya
sasa wewe unataka serikali iruhusu chama gani kiwe na sungusungu?Serikali ya CCM kweli dhaifu, kama kila chama kitakuwa na sungusungu, basi tunaelekea pabaya
una umrigan wewe? maana unatudanganya humu kama watoto hivi! Watu kama ninyi zama za musa usha pigwa mawe wewe.
Tunausongo nao hao Subiri tukutane siku Moja ndio watajua red brigade au red mijeledi maana hakuna rangi watakosa kuijua, tutawasambaratisha wote ndio utakuwa mwanzo na mwisho wao.
......Ujangili wa Meno ya tembo
Rwakatare ni kiumbe hatari sana kwenye jamii ya watu wastaarabu.Serikali iangalie kwa karibu haya makundi ya kihuni.
sasa wewe unataka serikali iruhusu chama gani kiwe na sungusungu?
nawaonea huruma hawa siku wakiingia kwenye 18 za Polisi au JWTZ wataonja joto ya jiwe
serikali kwa nini inakiacha hiki kikundi cha kigaidi
sawa mkuu mpo imara,mpo fiti kabisa MSIJALIHatuogopi vitisho vya JWTZ tupo imara kuliko unavyofikiri wewe
serikali kupitia ccm ilianza kuwafunza watu mafunzo ya kijeshi kupitia jkt halafu ikawatelekeza!
green gurd na red briged ndio nini?
Eti na wewe ulikuwa Moderator! TeheteheteheteheMkuu, nchi yetu inaongozwa kwa matukio, likitokea la kutokea ndio utasikia wanahaha kuanzisha "Mkukuta" wa kutatua tatizo! Kwa ujumla Srrikali imekuwa "reactive" badala ya "proactive!"