Foffana
JF-Expert Member
- Oct 29, 2022
- 2,687
- 4,383
😅😅😅😅Kuna utoto zaidi ya hiki ulichofanya cha kufungua ID zaidi ya 100, kila ID una act tofauti. Mara unataka ajira ya ualimu, Mara dalali, mara mfanyabiashara mkubwa, mara therapist n.k
Kwenye siasa, angalia unachoandika hapa kwenye hii haya land alafu linganisha na unachoandikaga kwenye hii friedman , ndio utaelewa una matatizo kiasi gani
Huyu bhana nilikuwa namzingatia sana na kiukweli ana vitu kichwani akitulia sema kuna vitu vidogo vidogo ukivifanya vinakukosesha scores
Kuna uzi fulani alianzisha hivi aisee nikabaki na maswali mengi. How mtu niliyekuwa namfikiria mie yuko hivi anakuja na uzi kama huu tangu siku ile automatically nikajishangaa simzingatii kama mwanzo
Ngoja niutafute kwanza ule uzi 😅