Picha mbili zinaelezea kwanini kwa sasa wao ni bora kuliko sisi

Picha mbili zinaelezea kwanini kwa sasa wao ni bora kuliko sisi

Kwa hiyo kazi yao ni kutuliza maandamano ya kudai haki na mifumo imara itakayolufanya Taifa letu kuwa bora na maendeleo ya uhakika?
Nazani una upungufu mkubwa wa ulewa wa namna majirani wanavyo endesha Siasa zao.

Una ukilaza mwingi kuijua Rwanda na namna inavyo washughulikia wakosoaji wa serikali ya Rwanda.

Rwanda Iko mbali sana katika ku minya haki za watu hasa wanao ikosoa serikali, inabidi ukae na kujifunza ndio utaelewa.

Wapuuzi kama nyie mnao hamasisha machafuko, ingekua ni Serikali ya Rwanda wote mngepotea kimyakimya.

Rwanda inawamaliza wakosoaji wa serikali Yao ata walio nje ya Africa.

Nyie wapuuzi wenzenu wengi wapo apo Kenya na Serikali ya Tanzania inataarifa zao zote kwa kila wanalo Fanya lakini hawaja amua kuwachukulia hatua Mbaya.
Rwanda imewa fyekelea mbali wote wenye mdomo walio ndani ya Rwanda na Nje ya Rwanda.

Uganda wameenda ku mkamata Kiiza Besigye ndani ya ardhi ya Kenya na kwasasa Yupo kwenye Mahabusu za kijeshi uko Uganda.

Nyie mnachonga ngenga Tena kwa matusi na kutamba lakini serikali ya TZ inawachukulia poa tu.
.
Msi ilazimishe serikali iende kutumia maguvu yake yote, mtaumia vibaya sana.
 
Nazani una upungufu mkubwa wa ulewa wa namna majirani wanavyo endesha Siasa zao.

Una ukilaza mwingi kuijua Rwanda na namna inavyo washughulikia wakosoaji wa serikali ya Rwanda.

Rwanda Iko mbali sana katika ku minya haki za watu hasa wanao ikosoa serikali, inabidi ukae na kujifunza ndio utaelewa.

Wapuuzi kama nyie mnao hamasisha machafuko, ingekua ni Serikali ya Rwanda wote mngepotea kimyakimya.

Rwanda inawamaliza wakosoaji wa serikali Yao ata walio nje ya Africa.

Nyie wapuuzi wenzenu wengi wapo apo Kenya na Serikali ya Tanzania inataarifa zao zote kwa kila wanalo Fanya lakini hawaja amua kuwachukulia hatua Mbaya.
Rwanda imewa fyekelea mbali wote wenye mdomo walio ndani ya Rwanda na Nje ya Rwanda.

Uganda wameenda ku mkamata Kiiza Besigye ndani ya ardhi ya Kenya na kwasasa Yupo kwenye Mahabusu za kijeshi uko Uganda.

Nyie mnachonga ngenga Tena kwa matusi na kutamba lakini serikali ya TZ inawachukulia poa tu.
.
Msi ilazimishe serikali iende kutumia maguvu yake yote, mtaumia vibaya sana.
Wapi hapa limeongelewa suala la Rwanda na Haki?

Umejiona ulivyo kilaza?
 
Waliofanya doria 29/10 walikua na vitambi?
Ndio walikuwa na vitambi na walifanya kazi "nzuri" sana ya kuua maelfu ya wananchi (soft Target) kama mbwa mitaani na majumbani. Hawakuhitaji hata kukimbia sana. Walikuwa wanazunguka na magari na kupiga risasi ovyo kila mahali.

Btw, Kagame keshatoa angalizo kwa wakati ule aliwapa "safe passage" mkarejea nyumbani kinyenyekevu. Safari hii kasema jitokezeni tena mkutane na moto wa jehanam!

Inasikitisha sana. Mmeharibu jeshi limekuwa kama la DR Congo. Wanakimbia na kutupa silaha mbele ya waasi wa Rwanda! Wanajua tu ku-terrorise wananchi wanyonge wasiokuwa na silaha za moto wala kujua kuzitumia (soft target). Halafu mnajisifu kuua wananchi kama mbwa koko! Hamza alionyesha mfano. Hatuna jeshi la kukabiliana na maadui waliojipanga kisawasawa.
 
Ndio walikuwa na vitambi na walifanya kazi "nzuri" sana ya kuua maelfu ya wananchi (soft Target) kama mbwa mitaani na majumbani. Hawakuhitaji hata kukimbia sana. Walikuwa wanazunguka na magari na kupiga risasi ovyo kila mahali.

Btw, Kagame keshatoa angalizo kwa wakati ule aliwapa "safe passage" mkarejea nyumbani kinyenyekevu. Safari hii kasema jitokezeni tena mkutane na moto wa jehanam!

Inasikitisha sana. Mmeharibu jeshi limekuwa kama la DR Congo. Wanakimbia na kutupa silaha mbele ya waasi wa Rwanda! Wanajua tu ku-terrorise wananchi wanyonge wasiokuwa na silaha za moto wala kujua kuzitumia (soft target). Halafu mnajisifu kuua wananchi kama mbwa koko! Hamza alionyesha mfano. Hatuna jeshi la kukabiliana na maadui waliojipanga kisawasawa.
Jeshi aliondoka nalo Mwamunyange.

Saivi JWTZ ni kikundi cha wahuni kama wahuni wengine tu. Hakuna weredi, hakuna kujitambua, hakuna kusimamia maslahi ya Wananchi. Ni mwendo wa uchawa na kujipendekeza kwa ccm tu kama ndo miungu wao.
 
ingekua ni Serikali ya Rwanda wote mngepotea kimyakimya.
H. Polepole, Mdude, Soka na list inaendelea wamepotezwa na Kagame?
Kama kupoteza mmejifunza kwake, jifunzeni pia kuponguza vitambi jeshini.
Tutapata wajeshi wenye uwezo mzuri wa kufikiri na kutenda kwa haraka na kwa usahihi.
 
Mods wa Jf naombeni mnisikilize kwa heshima wakubwa zangu!!
Hawa watu wenye nyuzi kama hizi za uchochezi kwa nini mnawaacha waendelee na haya mambo??
Hamuoni kama hawa ndo wanafanya mpaka saivi hatuingii Jf bila Vpn?
Please Max na wenzie fanyieni kazi hawa members !!..
 
Kwa hiyo kazi yao ni kutuliza maandamano ya kudai haki na mifumo imara itakayolufanya Taifa letu kuwa bora na maendeleo ya uhakika?
Wewe mjinga kweli ....bila uwepo wa hao Leo tungekuwa koloni la Uganda. Unadaije haki Kwa vandalism ? Unadai haki huku unachoma Mali za watu.
 
Ndio walikuwa na vitambi na walifanya kazi "nzuri" sana ya kuua maelfu ya wananchi (soft Target) kama mbwa mitaani na majumbani. Hawakuhitaji hata kukimbia sana. Walikuwa wanazunguka na magari na kupiga risasi ovyo kila mahali.

Btw, Kagame keshatoa angalizo kwa wakati ule aliwapa "safe passage" mkarejea nyumbani kinyenyekevu. Safari hii kasema jitokezeni tena mkutane na moto wa jehanam!

Inasikitisha sana. Mmeharibu jeshi limekuwa kama la DR Congo. Wanakimbia na kutupa silaha mbele ya waasi wa Rwanda! Wanajua tu ku-terrorise wananchi wanyonge wasiokuwa na silaha za moto wala kujua kuzitumia (soft target). Halafu mnajisifu kuua wananchi kama mbwa koko! Hamza alionyesha mfano. Hatuna jeshi la kukabiliana na maadui waliojipanga kisawasawa.
Sasa kama Hamza alitamba mbele ya jeshi akiwa peke yake, vipi kwa maadui wenye mitutu!?
Jeshi wanafuga vitambi na kubweteka
 
Picha ya kwanza ( Sisi)
Vitambi vya maana- Hii
ni ishara ya mtu asiyejali mwili wake na kuendekeza kula na kulala.

NI ishara ya mtu mvivu ambaye haumizi kichwa chake kutafuta ufumbuzi wa matatizo yanayomkabili ila anayeendekeza njaa na shibe ya tumbo tu.
View attachment 3515795

Picha ya pili (Wao)
Miili nadhifu isiyo na vitambi.
Hii ni ishara ya watu wanaojali mazoezi na afya zao. Wenye utimamu wa miili na akili ambao muda wote wanaumiza kichwa namna ya ku survive kwenye dunia ngumu
View attachment 3515796

Usijiulize tena kwa nini sisi tulishushiwa kipigo cha mbwa mwizi hadi tukakimbia Goma?
Mmebakiwa na fitina za kijinga pamoja na dhihaka. Mliwadanganya vijana kwamba wao waingie tu barabarani watakutana na jeshi ambalo litakuwa upande wao!.

Matokeo yake vijana wengi wakapigwa risasi kwa kusikiliza tu ujinga mliowajaza mitandaoni. Hata siku moja JWTZ haliwezi kufanya tukio pasipo kuongozwa na Katiba ya JMT.
 
Mods wa Jf naombeni mnisikilize kwa heshima wakubwa zangu!!
Hawa watu wenye nyuzi kama hizi za uchochezi kwa nini mnawaacha waendelee na haya mambo??
Hamuoni kama hawa ndo wanafanya mpaka saivi hatuingii Jf bila Vpn?
Please Max na wenzie fanyieni kazi hawa members !!..
Tulia dawa ikuingie taratibu.

Uchochezi upo wapi hapa? Au umeshachanganyikiwa?
 
Wewe mjinga kweli ....bila uwepo wa hao Leo tungekuwa koloni la Uganda. Unadaije haki Kwa vandalism ? Unadai haki huku unachoma Mali za watu.
Jeshi lenye akili alishaondoka nalo Mwamunyange. Hawa waliobaki sasahivi ni vigaragosi vya ccm. Ni idara ya ccm inayovaa magwanda. Hata akili hawana akili.
 
Kwa hiyo kazi yao ni kutuliza maandamano ya kudai haki na mifumo imara itakayolufanya Taifa letu kuwa bora na maendeleo ya uhakika?
Hao wanakesha mipakani wakiwa wamesimama wima na bunduki zao usiku kucha wakati huo wewe unakoroma nyumbani kwako baada ya kutoka kucheza muziki pale Kidimbwi.

Wape heshima wanayostahili, bila ya uwepo wao tungekwisha kushambuliwa na magaidi wa kila aina wa kutoka katika mataifa yanayotuzunguka.
 
Mmebakiwa na fitina za kijinga pamoja na dhihaka. Mliwadanganya vijana kwamba wao waingie tu barabarani watakutana na jeshi ambalo litakuwa upande wao!.

Matokeo yake vijana wengi wakapigwa risasi kwa kusikiliza tu ujinga mliowajaza mitandaoni. Hata siku moja JWTZ haliwezi kufanya tukio pasipo kuongozwa na Katiba ya JMT.
Katiba ipi ya JMT?

Nyie mlivyoiba uchaguzi mmeiba kwa kifungu kipi cha Katiba?

Mlivyoua maelfu ya vijana wa kitanganyika mmefanya hayo kwa kifungu kipi cha Katiba?

Mnavyoteka, kuua na kuwapoteza Watanganyika mnafanya hayo kwa kifungu kipi cha Katiba?
 
Katiba ipi ya JMT?

Nyie mlivyoiba uchaguzi mmeiba kwa kifungu kipi cha Katiba?

Mlivyoua maelfu ya vijana wa kitanganyika mmefanya hayo kwa kifungu kipi cha Katiba?

Mnavyoteka, kuua na kuwapoteza Watanganyika mnafanya hayo kwa kifungu kipi cha Katiba?
Katiba aliyoitumia Samia kuapa baada ya kushinda uchaguzi mkuu wa 2025. Huwezi hata siku moja jeshi la JWTZ ukaliingiza kwenye siasa za majibizano.

Polisi wanaoshughulika na sheria ndio wanaoweza kukujibu kwenye mada yoyote.

Samia hahitaji kuiba kura kafanya mengi sana huko mikoani.

Nenda kule Karema Ziwa Tanganyika uzione meli nne zilizotengenezwa na wizara ya mawasiliano zinazokwenda kuanza kazi hivi karibuni.

Nenda katazame viwanja vya ndege vinavyozidi kumaliziwa kujengwa kila mkoa kwa kasi kubwa. Katazame wakulima wanaouza mazao nje ya nchi wanavyofaidika kwa hatua chanya zinazochukuliwa na wizara ya kilimo.

Punguza blah blah za humu JF nenda physically katembe ujionee namna anavyostahili kuwa Rais wa JMT.
 
Back
Top Bottom