BoManganese
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 980
- 2,674
...
Mbona sijaona kitu kinacho relate na udini hapo, mkuuThread itaishia kwenye udini hii, natabiri.
Thread imeisha kwani!Mbona sijaona kitu kinacho relate na udini hapo, mkuu
Utunzaji wa kumbukumbu na hata kama zilitunzwa na uhakika zilikuja kuharibiwa..Mbona sioni mtu mweusi hata mmoja, nikweli Africa hatukuwa na wanasayansi ama ni ujinga wa wazee wetu hawakuweza kutunza kumbukumbu za kihistoria na kisayansi kutokana na kutokujua kusoma wala kuandika?
Ngoja tuoneThread imeisha kwani!
Sayansi ya Africa haithaminiwi na historia yake nikweli either iliaribiwa au kupotoshwa na wazungu, tulikuwa na wataalam wengi mfano canal drilling , wataalam wa kutengeneza alcohol mfano mbege uchagani, ulanzi kwa wahehe lakini hatuna kumbukumbu za wagunduz wa hii mambo.Utunzaji wa kumbukumbu na hata kama zilitunzwa na uhakika zilikuja kuharibiwa..
Huyo ni Chief Lobengula
Huo mchupi kweli father..😅😂
Basi nisamehe
Nilikua nakuja kumtaja huyu mwamba asee..Kuna huyu hapa kutoka Africa Misri anajulikana kama father of Early medicine na pia ndiye designer wa yale mapyramid kule Misri. Anaitwa ImhotepView attachment 1485913View attachment 1485914