Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,397
Hao jamaa ndo chanzo cha matatizo yoooote ulimwenguni,wamefanya dunia kuwa ni sehemu hatari sana
Lazima mke akuache kwa sababu utakuwa huna muda wa ku spend nayeMtu mwenye akili kubwa hawezi kuoa.
Thread crossedFather of the comedyView attachment 1486267
Why,?how?Thread crossed
Bonge la jitu
Just imagine Tesla angekuwa lab anafikiria vitu konki alaf inaingia msg toka kwa Newton ikimwambia kwamba demu wake kaonekana lodge na msela mwingine?Kuna uhusiano gani kati ya kusex na kuwa na IQ kubwa maana ukicheki almost hawa manguli wote hawaajacha watoto
Huyo ndo founder of all. Hakuna wa kuongezeaWhy,?how?
hahaha. huyo jamaa ameleta matatizo makubwa duniani kushinda shetaniNataka mlete fadher of money nimtukane mpaka afufuke anieleze kiherehere cha kuanzisha pesa
[emoji23]
yaan namchukia kishezihahaha. huyo jamaa ameleta matatizo makubwa duniani kushinda shetani
Modern Electricity ndiyo nini au inahusu nini ?Katika hao wotee tukumbuke NIKOLA TESLA ndiye great father of morden electricity. Namkubali sana huyu jamaaView attachment 1485884View attachment 1485885
Hiyo ni kwa sababu Nikola Tesla yeye ndiye mgunduzi wa umeme wa AC na AC motors ndo maana hata Elon Musk hizi gari zake za umeme za kisasa ameziita Tesla pia Nikola Tesla yeye ndiye aliye gundua au mwanzilishi wa hizi hydroelectric power plants hizi zinazo tumika hadi leo hii. Nikola Tesla akaenda mbali zaidi kutaka kusambaza umeme dunia nzima wirelessly for free but kuna kuna watu wali mkwamisha katika hii project yake. Haya mambo yote ya wireless tunayo yaona kwa sasa Nikola Tesla amehusika kwa kiasi kikubwa. Fatilia historia yake jamaa ame gundua na kufanya vitu vingi tuu na alikuwa na idea za hatari sana.Modern Electricity ndiyo nini au inahusu nini ?