chumvichumvi
JF-Expert Member
- May 6, 2010
- 1,207
- 312
aisee mi mtanikuta pande za philips aisee niko na machalii hapa
Leo ni viroba tu na ganja.
Leo ni Viroba tu na Ganja.
Pamoja sana ila usije ukaondoka ili nitakapokuwa naweka picha uwe unazi update kwenye thread maana ngoma ya leo ni mpaka jioni...
mkuu kumbe ni mshirika,taratibu zitakuangamiza.Leo ni viroba tu na ganja.
Leo ni viroba tu na ganja.
Ha ha ha ha! Naona na wewe leo hapo Lumumba ni Gongo kwenda mbele
kina mama tupo sambamba na nyie.....hakika Lema ni mbunge wa Arusha mjini....hata hali ya hewa imekiri....