Kwa nini hujatumia ID yako ya kila siku.
Sasa hivi umeingia na ID mpya ili tu kuweka upuuzi wako huu?
Tena ndo post ya kwanza.
Jiamini tu, ungetumia your usual ID.
Moron.
Asiyesikia la mkuu huvunjika guu. Takriban miaka 40 baada ya wananchi hasa wa Kariakoo kukataa mji usijengwe upya ilani ilitolewa kuhamia Idodomia chacha nyie mlifikiri waliosema hivyo ni wajinga kaeni na ujanja wenu chacha.
Hapa ndio unafahamu kabisa kwamba hii nchi haina viongozi ina mazezeta. Wanasubiri kuwakamua walipa kodi kwa kujilipa. Je, wananchi wa Dar hivi sasa wanachukua uamuzi gani kuhusu hii serikali?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.