PICHA: Mafuriko yalikumba jiji la Dar es Salaam

PICHA: Mafuriko yalikumba jiji la Dar es Salaam

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
27,643
Reaction score
62,566
05.jpg

hapa ni maeneo ya kati ya Tabata na Buguruni, kama picha hii inavyoonyesha nyumba zikiwa zimefunikwa na kuelea majini leo hii.

02.jpg

Eneo la Tabata unapopita Mto Msimbazi likiwa limejaa maji na kufunika baadhi ya nyumba za maeneo hayo leo.

04.jpg

Haya ni maeneo ya Vingunguti kuelekea Tabata, eneo la Viwanda.
20111221_121026.jpg


20111221_121034.jpg


Picha za Moja kwa moja kutoka Eneo la Jangwani jijini Dar es Salaam muda mfupi baada ya kuzingirwa na maji/Mafuriko kutokana an mvua kubwa zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam Muda Huu na kufanya eneo lote la Jangwa Kuonekama Kama Ziwa.Picha Hizi za Moja kwa Moja Kutoka Jangwani Zimepigwa na Mdau Bilal Ahmed

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
<tbody>[TR]
[TD="align: center"]
07.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]
06%2Cm.jpg

6.jpg
Daraja la Kawe eneo la Bondeni linapojengwa Daraja jipya tayari maji yamelizidia na kupita juu.
7.jpg
Kingo za Daraja hilo zikiwa tayari zimebomoka
8.jpg
Baadhi ya abiria wakitembea kwa miguu baada ya eneo hilo njia kufungwa
03m.jpg

Mto Msimbazi ulikopita na kuharibu Miundombinu.
[/TD]
[/TR]
</tbody>[/TABLE]

flavi-61.jpg




flavi-4-450x600.jpg
.

flavi-3.jpg
 
Hali hii ikiendelea kuna hatari ya baadhi ya maeneo kutopitika, Kigamboni mitaa ya midizini nako hali ni mbaya, maji kila sehemu
 
Watakomaa na na waishio mabonde ya msimbazi lakini kwa ufupi planning na miundombinu huko bongo ni wasiwasi sana.
 
Tuendelee kukaa mabondeni ili tupate fursa ya kupanda helikopta.
 
Big up Mkuu for the photos.Tuna wapi pole ndugu zetu waliopatwa na janga hili.
 
Inatisha na itatisha zaidi yatakapoanza kufumuka magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu! Eee Mwenyezi Mungu tusaidie!
 
Back
Top Bottom