Tabora alienda kuomba kura Kanisani na si kusali !
Ama kweli desparate times calls for desparate measures! Jamaa amechanganyikiwa hadi anaomba kura kwa watoto wadogo..huyu akiendelea hivi huwezi kushangaa anaomba hadi wanyama wampigie kura ya ndiyo
Hao hao akina nani !
Nimeamini ukiwa CCM lazime akili zako uziweke uvunguni, hivi bado hamuamini kuwa Lowasa ndio Rais mtarajiwa?
CCM Kimewauma Sana Lowasa Kumuomba Mungu wake Kanisani, Huyo Magufuri Kamtafuteni Mjue Alikoenda Kuabudu!
Nani alikudanganya mungu anaombwa Kanisani !?
Inzi atatengeneza asali !
Ndio dhehebu gani hilo mkuu???au kichwa chako hakipo sawasawa???Alienda tena kuomba kura kwa warutheli nini? huyo mzee asituletee udini hapa tanzania ni moja, na watanzania ni wamoja pia. udini, ukabila, ukanda kamwe tusiupe nafasi
Wewe sijui ni gamba la Masaki au Lumumba?
Alienda kuomba kura tena?
Alienda tena kuomba kura kwa warutheli nini? huyo mzee asituletee udini hapa tanzania ni moja, na watanzania ni wamoja pia. udini, ukabila, ukanda kamwe tusiupe nafasi
Wanamwombea sana mabaya, wamemtangaza mgonjwa, wametamani afe lakini kukicha anazidi kuimarika, wanapodhani atakuwa amelala kitandani Mwenyezi Mungu anamwibua akiwa shupavu, jasiri, mwenye bashasha na tabasamu lenye kuwajenga na kuwapa watu matumaini. Hili linawauma sana sana....... WAMECHELEWA.