Huyo fisadi Lowasa ni figa tu hata mwenyewe huwa anasema ana mtandao wa Mafisadi anaouwakilisha ambapo yeye huwaita Marafiki zake na hao jamaa ni Mafia wanamiliki njia zote Kiuchumi TanZania kuanzia bandari, Mawasiliano, Madini, Utalii, Usafirishaji mpaka Vitalu vya kuwindia wanyama, hivyo kuna sababu kwa nini CCM walimtosa!
Wewe jiulize tangu lini TanZania watu wakakosa heshima kwa Raisi wa JMTZ na Mwenyekiti wa Chama? Watu walikuwa wanaimba mbele ya Raisi kwamba wanamtaka fisadi Lowasa hiyo jeuri waliitoa wapi? Unajua kwamba Raisi wa JMTZ ana uwezo wa kusema tu na wote wanakamatwa?
Hivyo hawa jamaa ni Mafia na sasa kinachowatoa roho ni Gesi yetu, na hapa ndipo mchezo wote ulipo!