Picha: Lowassa ahani msiba wa Peter Kisumo

Picha: Lowassa ahani msiba wa Peter Kisumo

Leo Mgombea Urais wa Jamhuri kupitia UKAWA katembelea Wilaya ya Mwanga. Viroja vyatawala.

1. Kashuka kwenye Chopper hapa Usangi. Kaenda kuweka shada la maua Kaburi la Mzee Kisumo. Kashindwa kufika kaburini. Karudi wanjani Kashindwa kupanda jukwaani. Kashindwa kupungia wananchi waliokuja kumsikiliza. Kaingizwa kwenye Chopper kaondoka.
2. Wananchi Kifula Ugweno wamngojea hakutokea

3.Wananchi wamngojea Mwanga mjini hakutokea.
Badala yake hasira zatawala wafuasi wa NCCR - MAGEUZI na CHADEMA watwangana makonde, wapotea njia wengi wakimbilia CCM .

Duniani kuna mambo.

Nilikuwepo Mwanga dah!!!! Wananchi wamesema bora tumpe magufuli
 
Wana mwanga wamesema mtu anatudanganya wakati wa campain je akiingia madalakan itakuaje? Sisi tunaenda na magufuli
 
Duh...waongo hawataiona pepo.siasa za kitoto sana hizi.I wish watu wangekuwa wanakuja na hoja moto moto zikajadiliwa ili tujifunze na pia tujue nchi yetu inaelekea wapi,badala yake mtu unaanzisha Uzi usio na mashiko?mara uchochezi alimradi na ww umeanzisha Uzi.Jamii forum ni sehemu unayoweza jifunza mengi ila kuna wachache wanapoteza maana ya hili jukwaa.
 
Acha uongo wewe picha nnazo hapa hajavaa shati la kijani bana amevaa shati la blue...sema nashindwa tu kuzi-upload ningeziweka hapa

Huyu atakupotezea muda bure, Lowassa avae nyeupe sisi tunaitafisiri UKAWA!
 
We mwache tu. Wenzake wawili waliomsema vibaya kwa ugonjwa wake wameshatangulia mbele ya haki. Mungu ni mwenye haki.

Mohammad Mtoi itakuwa nae alimsema.Halafu mbona FISADI lawassa hajaenda msiba Tanga kaenda kwa mzee kisumo wakati kasema hana rafiki CCM.
 
Leo Mgombea Urais wa Jamhuri kupitia UKAWA katembelea Wilaya ya Mwanga.

Viroja vyatawala.

1. Kashuka kwenye Chopper hapa Usangi. Kaenda kuweka shada la maua Kaburi la Mzee Kisumo. Kashindwa kufika kaburini. Karudi uwanjani Kashindwa kupanda jukwaani. Kashindwa kupungia wananchi waliokuja kumsikiliza. Kaingizwa kwenye Chopper kaondoka.

2. Wananchi Kifula Ugweno wamngojea hakutokea.

3. Wananchi wamngojea Mwanga mjini hakutokea. Badala yake hasira zatawala wafuasi wa NCCR - MAGEUZI na CHADEMA watwangana makonde, wapotea njia wengi wakimbilia CCM .

Duniani kuna mambo..


Huoni aibu sasa ............................!!?
 
#

Wala usikonde Mahakama ya Mafisadi inakuja na siyo mbali kama alivyoahidi


Raisi wa V wa JMTZ Dr.Pombe Magufuli!

Kwa majaji wa aina gani na watakaoteuliwa na nani
Kwani mahakama zilizopo zimekosa nini mpaka msiziamini mkaanzishe mahakama mpya
Na unajua utaratibu wa kuanzisha mahakama au unawaambia tuu wanachama wako kuwa utaanzisha mahakama
Je hiyo mahakama itakuwa kwenye utaratibu upi katika mfumo tulio nao kwenye katiba na ambao wewe unaouona tofauti na uliopo
 
Kwa majaji wa aina gani na watakaoteuliwa na nani
Kwani mahakama zilizopo zimekosa nini mpaka msiziamini mkaanzishe mahakama mpya
Na unajua utaratibu wa kuanzisha mahakama au unawaambia tuu wanachama wako kuwa utaanzisha mahakama
Je hiyo mahakama itakuwa kwenye utaratibu upi katika mfumo tulio nao kwenye katiba na ambao wewe unaouona tofauti na uliopo


Mimi siyo Mwanasheria hivyo siwezi kujibu hayo maswali, ila ninachojua tu ni kwamba Raisi wa V Dr.Pombe Magufuli atawashughulikia mafisadi akina Lowasa &Co.
 
Mimi siyo Mwanasheria hivyo siwezi kujibu hayo maswali, ila ninachojua tu ni kwamba Raisi wa V Dr.Pombe Magufuli atawashughulikia mafisadi akina Lowasa &Co.

Sasa kabla hujachukua kila anachosema huyo mgombea wako shirikisha ubongo wako wa fikra kuchuja na kuchambua ujue system ya mahakama inaanzishwaje na inaendeshwaje na sio kusema tuu ataanziaha mahakama ya mafisadi.
Hilo swali aliulizwa hata mtu wenu wa karibu akajichanganya tuu na majibu yasiyoeleweka japo ni mwanasheria
Huwezi kuamka asubuhi ukasema naanzisha mahakama ya mafisadi bila kujua itafall kwenye system gani ya mahakama na itakuwa ya wapi na nguvu zake zikoje na case zake may be appeal zitaenda wapi na sitting yake inakuwaje na majudge wangapi wanaweza kusikiliza case na wawe na mamlaka gani
Na je kuanzisha mahakama nyingine ina maana hizi zilizopo hazitoshi au zina madhaifu gani
Kama unamuona fisadi ni Lowassa pekee basi nafikiri kuna jambo haliko sawa kwenye fikra zako
 
Sasa kabla hujachukua kila anachosema huyo mgombea wako shirikisha ubongo wako wa fikra kuchuja na kuchambua ujue system ya mahakama inaanzishwaje na inaendeshwaje na sio kusema tuu ataanziaha mahakama ya mafisadi.
Hilo swali aliulizwa hata mtu wenu wa karibu akajichanganya tuu na majibu yasiyoeleweka japo ni mwanasheria
Huwezi kuamka asubuhi ukasema naanzisha mahakama ya mafisadi bila kujua itafall kwenye system gani ya mahakama na itakuwa ya wapi na nguvu zake zikoje na case zake may be appeal zitaenda wapi na sitting yake inakuwaje na majudge wangapi wanaweza kusikiliza case na wawe na mamlaka gani
Na je kuanzisha mahakama nyingine ina maana hizi zilizopo hazitoshi au zina madhaifu gani
Kama unamuona fisadi ni Lowassa pekee basi nafikiri kuna jambo haliko sawa kwenye fikra zako

Kama nilivyosema vyovyote vile itakavyokuwa lkn cha muhimu Mafisadi washitakiwe na waende lupango kama atatumia Mahakama ya Kadhi, ya biashara au sijui ya Kimataifa Arusha haijalishi cha muhimu fisadi Lowasa na Genge lake waondolewa kabisa kwenye mfumo wa wizi walioujenga kwa miaka mingi hapa nchini kwetu!
 
Kama nilivyosema vyovyote vile itakavyokuwa lkn cha muhimu Mafisadi washitakiwe na waende lupango kama atatumia Mahakama ya Kadhi, ya biashara au sijui ya Kimataifa Arusha haijalishi cha muhimu fisadi Lowasa na Genge lake waondolewa kabisa kwenye mfumo wa wizi walioujenga kwa miaka mingi hapa nchini kwetu!



Kweli umekaririshwa na kwa majibu yako sina cha kusema maana fisadi ni mmoja tuu hujawaona wa EPA na Escrow na Kiwira na Meremeta na mabehewa mabovu na wa ATCL and mchwa waliojaa kwenye kila halmashauri nchini wewe ubmebaki na Lowassa
Hebu funguka akili kidogo na ufaham wako fikiria nje ya box na uwaze kidogo kwa nini hao wengine wote hawashughulikiwi ila wewe na huyo mmoja tuu
Kwani ndio anayefanya sasa hivi tukose barabara nzuri au dawa hospital au watoto 200 wafundishwe na mwalimu mmoja au wasomee chini ya mti au wakalie jiwe shuleni badala ya kiti
 
Kweli umekaririshwa na kwa majibu yako sina cha kusema maana fisadi ni mmoja tuu hujawaona wa EPA na Escrow na Kiwira na Meremeta na mabehewa mabovu na wa ATCL and mchwa waliojaa kwenye kila halmashauri nchini wewe ubmebaki na Lowassa
Hebu funguka akili kidogo na ufaham wako fikiria nje ya box na uwaze kidogo kwa nini hao wengine wote hawashughulikiwi ila wewe na huyo mmoja tuu
Kwani ndio anayefanya sasa hivi tukose barabara nzuri au dawa hospital au watoto 200 wafundishwe na mwalimu mmoja au wasomee chini ya mti au wakalie jiwe shuleni badala ya kiti

Ufisadi na madhambi yote TanZania yanasababishwa na fisadi Lowasa na Genge lake, hakuna ufisadi mkubwa ambao hao Lowasa anaowaita marafiki zake hawamo kama Karamagi, Rostamu Aziz, Rugemalira, Manji, &Co.

CCM siyo wajinga kumpiga chini wanamuelewa vizuri klk wewe na mimi!
 
Ufisadi na madhambi yote TanZania yanasababishwa na fisadi Lowasa na Genge lake, hakuna ufisadi mkubwa ambao hao Lowasa anaowaita marafiki zake hawamo kama Karamagi, Rostamu Aziz, Rugemalira, Manji, &Co.

CCM siyo wajinga kumpiga chini wanamuelewa vizuri klk wewe na mimi!

na ccm ingefanya makosa ya kumsimamisha fisad lowasa slaa alikuwa anatupiga asubuhi kabisa

lowasa hafai kabsaaaa

weka mbali na watoto
 
Ufisadi na madhambi yote TanZania yanasababishwa na fisadi Lowasa na Genge lake, hakuna ufisadi mkubwa ambao hao Lowasa anaowaita marafiki zake hawamo kama Karamagi, Rostamu Aziz, Rugemalira, Manji, &Co.

CCM siyo wajinga kumpiga chini wanamuelewa vizuri klk wewe na mimi!



Wanamuogopa au ana miiba hakamatiki au ana genge la mafia linalomlinda mpaka serikali na jeshi la polisi na jeshi lote limeshindwa kumkamata mpaka anafikia kwenda kugombea urais
Na je ina maana hao uliowataja wana nguvu zaidi ya serikali yako mpaka mshindwe kuwakamata mpaka mkawaundie mahakama maalumu
Kweli huyu jamaa hafai na serikali yako na chama chako kweli ni dhaifu mpaka watu wanne watano wameiweka mfukoni haifurukuti
Kweli wananchi nao ni malofa wanakubali huyu jamaa aendelee kutamba mtaani licha ya kusababisha shida zote hizi shule hazina madawati hospital hazina dawa, umeme wa mgao, barabara hakuna, wanakopw ampaka mazao yao nao wamenyamaza kimya na wanamuona jamaa anapita mtaani hana wasi wasi kwa nini wasimpopoe kwa mawe
Na jeshi hilo la police wanampa mpaka ulinzi wakati wanajua jamaa ni fisadi kwa nini fisadi analindwa aise na police na anapewa mpaka mlinzi binafsi na analipwa mpaka mafao yake ua uwaziri mkuu
 
Mohammad Mtoi itakuwa nae alimsema.Halafu mbona FISADI lawassa hajaenda msiba Tanga kaenda kwa mzee kisumo wakati kasema hana rafiki CCM.

Hujui yule mzee n msanii
Kama huna kiki
au akija kwenye msiba wako hatopata kiki
hawez kuja mkuu


EL LEO ATAENDA?
Nauliza tu,hivi EL leo ataenda kuaga mwili wa marehemu mtikila??Mwenye ratiba yake atujuzee
 
Back
Top Bottom