Picha: Lowassa ahani msiba wa Peter Kisumo

Picha: Lowassa ahani msiba wa Peter Kisumo

Siasa za kinafiki mbaya sana kashindwa kwenda kumzika Mohamedi Mtoi wala kuhani unakwenda kuuza sura kwenye misiba ya watu maarufu.

Wewe ----- kweli, msiba ni msiba tu mbona unaukomalia wa Mtoto?
 
Last edited by a moderator:
Waulize kaptaini Komba, Mama Kombani na Mtikila watakueleza nini maana ya kucheza na afya za watu kama wewe ndiye muumbaji

Niwaulizie wapi na kwa nini niwaulize? Kwa fisadi Lowasa na Genge lake hakuna hayo mambo kila kitu ruksa hawa siyo binadamu wa kawaida!
Unafahamu ni kwanini watu huwa wanachoma wezi Moto? Kama ulikuwa haujawahi kuibiwa hautawaelewa na utawaona wanadhambi kubwa lkn siku wezi wakikuotea nyumbani kwako wakambaka Mke na Biti zako mbele yako na kusafisha kila kitu ulichokinunua kwa jasho naamini kabisa kesho ukikuta mwizi anachomwa moto utaongeza mafuta ya petroli!

Hivyo kwa hawa watu sheria na kanuni zote za kibinadamu hazitumiki tena hawa ni Mafisadi na wauwaji wakubwa!

 
Kijani hiyo-mnafikiria fuso tu kila kitu cheating



attachment.php

Blue bhanaaa mbona kama mtoto kikojozii??hujui tu unavyokera kichwa Nazi wewee!!!mfano Mimi nikivaa hata kitu cha kijani Ni kosaaa?? Ili Ni shat la Blue wala huna hoja kojoaaa na ulaleee!!!!
 
Lowassa akiweka shada la maua kwenye kaburi la mzee Peter Kisumo Leo.
 

Attachments

  • 1444153206695.jpg
    1444153206695.jpg
    17.1 KB · Views: 408
  • 1444153217869.jpg
    1444153217869.jpg
    18.7 KB · Views: 394
  • 1444153229903.jpg
    1444153229903.jpg
    29.5 KB · Views: 383
  • 1444153242862.jpg
    1444153242862.jpg
    32.8 KB · Views: 374
Kwa fisadi Lowasa na Genge lake kanuni na sheria zote hazitumiki, hivyo chochote kinaruhusiwa na Mungu ameruhusu hilo!


Unasubiri nini kuupeleka ushahidi wako mahakamani au unabwabwaja bwabwaja tuu hapa
Mbona Chenge na Tibaijuka hamuwapeleki mahakamani
Nyani haoni nanihii lake ndo maana unaongea tuu hapa kama redio mbao
Mungu amekuruhusu wapi kumdharau binadamu mwenzako aliyeumbwa kwa mfano wake
 
Lowassa ahani Msiba wa Mwanasiasa Mkongwe nchini, Marehemu Mzee Peter Kisumo, Kijijini kwake Usangi, Mwanga Mkoani Kilimanjaro....

Kumbuka siku ya mazishi alizuiwa na jeshi la polisi...
Leo umeniangusha bana. Nilitegemea kuona ile slogan yako: CCM OUT!

Samahani Ocampo four. Message hii ilikuwa imemlenga kamanda Kituadumu. Samahani nimebonyeza ndipo sipo!
 
Anatafuta kiki kupitia ccm,mbona alivyokuwa tanga hakuenda kuhani kwa kamanda yule aliepoteza maisha akikipigania chama

mpaka umsome lowasa utakesha sana fatilia siku akija kwenda kwa kamanda mtoi mtashangaa haijalishi ni lini
 
Unasubiri nini kuupeleka ushahidi wako mahakamani au unabwabwaja bwabwaja tuu hapa
Mbona Chenge na Tibaijuka hamuwapeleki mahakamani
Nyani haoni nanihii lake ndo maana unaongea tuu hapa kama redio mbao
Mungu amekuruhusu wapi kumdharau binadamu mwenzako aliyeumbwa kwa mfano wake
#

Wala usikonde Mahakama ya Mafisadi inakuja na siyo mbali kama alivyoahidi


Raisi wa V wa JMTZ Dr.Pombe Magufuli!
 
Back
Top Bottom