brighton chuwa
Member
- Sep 12, 2015
- 31
- 7
Leo Mgombea Urais wa Jamhuri kupitia UKAWA katembelea Wilaya ya Mwanga.
Viroja vyatawala.
1. Kashuka kwenye Chopper hapa Usangi. Kaenda kuweka shada la maua Kaburi la Mzee Kisumo. Kashindwa kufika kaburini. Karudi uwanjani Kashindwa kupanda jukwaani. Kashindwa kupungia wananchi waliokuja kumsikiliza. Kaingizwa kwenye Chopper kaondoka.
2. Wananchi Kifula Ugweno wamngojea hakutokea.
3. Wananchi wamngojea Mwanga mjini hakutokea. Badala yake hasira zatawala wafuasi wa NCCR - MAGEUZI na CHADEMA watwangana makonde, wapotea njia wengi wakimbilia CCM .
Duniani kuna mambo..
Viroja vyatawala.
1. Kashuka kwenye Chopper hapa Usangi. Kaenda kuweka shada la maua Kaburi la Mzee Kisumo. Kashindwa kufika kaburini. Karudi uwanjani Kashindwa kupanda jukwaani. Kashindwa kupungia wananchi waliokuja kumsikiliza. Kaingizwa kwenye Chopper kaondoka.
2. Wananchi Kifula Ugweno wamngojea hakutokea.
3. Wananchi wamngojea Mwanga mjini hakutokea. Badala yake hasira zatawala wafuasi wa NCCR - MAGEUZI na CHADEMA watwangana makonde, wapotea njia wengi wakimbilia CCM .
Duniani kuna mambo..