Utu ni kitu kizuri sana hata kama wewe ni mzima hapo ulipo mshukuru Mungu kwa uzima wako na jua mdomo huumba kuna siku wewe mwenyewe au mzazi wako au ndugu yako wa karibu atapatwa na janga kama hilo sijui utamkimbia au utakuja kwenye mitandao kumuanika kama unavyofanya hapa
Hakuna aombaye ugonjwa wala hakuna mwenye guarantee na maisha yake kuwa atakuwa mzima mpaka siku ya kufa kwake
Ila unapomnyooshea mwenzako kidole kimoja jua viko vinne vinarudi kwako kukuhukumu
Ngoja nikwambie wewe mimi nikifikia mahali ambapo naumwa mpaka najinyea siwezi kutumia nguvu nyingi kuwaaminisha watu kwamba mimi ni mzima bali nitakubali kuwa mimi ni mgonjwa na kutulia nyumbani kujiuguza mpaka siku ya mwisho!
Katika hali isiyotegemewa Leo mh Lowasa ameenda Mwanga kuhani msiba wa kada wa ccm mh peter kisumo akiwa rasmi kwenye sare ya Ccm yaani shati la kijani. Usisahau kwenu Lowasa ni dhahiri baada matokeo ya uchaguzi kuonesha umeshindwa utarudi nyumbani ccm.
Hivi kila rangi ya kijani ni CCM?Katika hali isiyotegemewa Leo mh Lowasa ameenda Mwanga kuhani msiba wa kada wa ccm mh peter kisumo akiwa rasmi kwenye sare ya Ccm yaani shati la kijani. Usisahau kwenu Lowasa ni dhahiri baada matokeo ya uchaguzi kuonesha umeshindwa utarudi nyumbani ccm.
Mshukuru Mungu kwa afya uliyo nayo na wala usiringe kuwa ni kwa nguvu zako wala kwa chochote ulicho nacho na wala usimdharau mtu yoyote ambaye ana madhaifu au magonjwa yake hakupenda kuwa hivyo na kama unamuhesabu kuw ani mgonjwa mwache Mungu achukue maamuzi yake usimhukumu wewe
asante baba lowasa kwa uungwanaLowassa ahani Msiba wa Mwanasiasa Mkongwe nchini, Marehemu Mzee Peter Kisumo, Kijijini kwake Usangi, Mwanga Mkoani Kilimanjaro....
Kumbuka siku ya mazishi alizuiwa na jeshi la polisi...
Kwa fisadi Lowasa na Genge lake sheria na Kanuni zote za kiutu na Kibinadamu hazitumiki, hivyo ni ruksa hata Mungu anajua, na bado Pigo kubwa na takatifu linakuja. Ongeza Kingine!
Omba Mungu akupe busara na hekima. Hivyo huwa havipatikani darasani.