kuntakyusa
Member
- Apr 8, 2014
- 46
- 12
NA Hiki kibaridi CHA mvua
mahindi ya KUCHOMA huwa
yanapata sana WATEJA..!
Hizo njaa sasa,then kula na maharage ili yawe makande ushibe ulale.
NA Hiki kibaridi CHA mvua
mahindi ya KUCHOMA huwa
yanapata sana WATEJA..!
Ha ha ha, atakuwa na ugonjwa wa pichaliasis na wasapnology. Haya magonjwa ni hatarrrre sana.
umesahau na ile style ya kukonyeza jicho moja,hahah na ile ya kupga makalio nyuma!pyuuuumenichekesha kweli mkuu! ugonjwa wa pichaliasis kweli umeathiri wengi. Kuna aina flani ya pichaliasis wadada wanabenjua midomo( duck face) nao ule ni hatari maana wahanga ni wengi.
Kwa kipi hasa, yameshindwa kumtokea puani hayo mapicha zije kuwa sabuni za roho?Usije ukamponza mwenzako zikamtokea puani
Mwenzenu kuna kaka nilikutana naye ndani ya basi Arusha to Dar tulikaa siti moja basi tukaanza kuongea ongea mpk tukajikuta tunabadilisha namba za simu mpk mwisho wa safar kila alienjoy safari yake basi tangu siku hiyo huyo kaka anafanya kazi ya kunitumia tu mipicha yake whatsapp yaan kila kitu anachofanya nilazima atapiga picha na kunitumia whatsapp asubuhi,mchana mpaka usiku na sijawahi kumuomba picha yake hata siku moja najitahidi kufuta baadhi ya picha but yeye anajitahid kuforward picha zake kwangu na kumwambia naona noma hata sijui nim-stop!
Nikimuuliza cjui nitategemea jibu gani memory card yangu upande wa picha kumejaaa
changamka basi cathy! mi ntakuwa kama subordinate dadeki! fanya mamipango tufahamiane mapema kabla mabazazi hayajakubeba mzobe mzobe! au sio mamii?Haaaaahaaaah kaz ipo
Nafuta sana mpk siku najidai kumdanganya memory card yangu ndogo imejaaa yaani nazuga eti ananiambia si kanunue memory yenye uwezo mkubwa