una mpenzi/wapenzi/mume/waume?Mwenzenu kuna kaka nilikutana naye ndani ya basi Arusha to Dar tulikaa siti moja basi tukaanza kuongea ongea mpk tukajikuta tunabadilisha namba za simu mpk mwisho wa safar kila alienjoy safari yake basi tangu siku hiyo huyo kaka anafanya kazi ya kunitumia tu mipicha yake whatsapp yaan kila kitu anachofanya nilazima atapiga picha na kunitumia whatsapp asubuhi,mchana mpaka usiku na sijawahi kumuomba picha yake hata siku moja najitahidi kufuta baadhi ya picha but yeye anajitahid kuforward picha zake kwangu na kumwambia naona noma hata sijui nim-stop!
Amwambie tu kwene simu yake hizo picha hazionekani vizuri, amnunulie HTC M8 au Samsung S5 ili zionekane kwa ufasaha ..Muombe hela nyingi atakimbia mwenyewe na mapicha yake...
Ha ha ha hapo stering atakufa na movie itaisha...Amwambie tu kwene simu yake hizo picha hazionekani vizuri, amnunulie HTC M8 au Samsung S5 ili zionekane kwa ufasaha ..
una mpenzi/wapenzi/mume/waume?
Muombe hela nyingi atakimbia mwenyewe na mapicha yake...
Nikimuuliza cjui nitategemea jibu gani memory card yangu upande wa picha kumejaaa
Kwani hayo magonjwa yana tiba au mtu akikua tu yanapotea kama kutoa kamasi vile....!
Mwambie awe anatuma hela