Picha kutumwa kila wakati

Picha kutumwa kila wakati

cathy14

Member
Joined
Apr 11, 2014
Posts
37
Reaction score
23
Mwenzenu kuna kaka nilikutana naye ndani ya basi Arusha to Dar tulikaa siti moja basi tukaanza kuongea ongea mpk tukajikuta tunabadilisha namba za simu mpk mwisho wa safar kila alienjoy safari yake basi tangu siku hiyo huyo kaka anafanya kazi ya kunitumia tu mipicha yake whatsapp yaan kila kitu anachofanya nilazima atapiga picha na kunitumia whatsapp asubuhi,mchana mpaka usiku na sijawahi kumuomba picha yake hata siku moja najitahidi kufuta baadhi ya picha but yeye anajitahid kuforward picha zake kwangu na kumwambia naona noma hata sijui nim-stop!
 
Ha ha ha, atakuwa na ugonjwa wa pichaliasis na wasapnology. Haya magonjwa ni hatarrrre sana.

Kwani hayo magonjwa yana tiba au mtu akikua tu yanapotea kama kutoa kamasi vile....!
 
Shida ipo wap? Blacklist no.. yake tu!! Au unakerwa na picha zake tu na sio yeye?
 
Usijali endelea kupokea ipo siku zinawez zika pata dili..! Huwezi jua..
 
Ha ha ha, atakuwa na ugonjwa wa pichaliasis na wasapnology. Haya magonjwa ni hatarrrre sana.

umenichekesha kweli mkuu! ugonjwa wa pichaliasis kweli umeathiri wengi. Kuna aina flani ya pichaliasis wadada wanabenjua midomo( duck face) nao ule ni hatari maana wahanga ni wengi.
 
Nikimuuliza cjui nitategemea jibu gani memory card yangu upande wa picha kumejaaa
 
Ulikubali kubadilishana nae namba sasa hivi unalalamika tena! kaza moyo konde mwambie ukweli, noma ya nini kwa mtu ambae mlikutana siku moja safarini
 
mwambie akioga akuforward afu nipm kazi ndogo sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom